gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,846
Jamani kama vipi usiku mwema wakuu Leo nimechoka kweli yani.. Mulale unonoKaka nipo tu napambana na hali si unajua tena jamanii
Jamani kama vipi usiku mwema wakuu Leo nimechoka kweli yani.. Mulale unonoKaka nipo tu napambana na hali si unajua tena jamanii
Bhana huo sasa uchochezi kwanini unapingaHistory gani hiyo na wewe, Umeshasahau sio. Achana na hayo majina bhana
Ungezaliwa!? Swali zuri sana me kwetu wa pili, pia ni kaka ooh kwa hiyo ningekuepo kwenye list iwe isiweWawilii tuu ndo nini hebu toka hapa, wazazi wako wangezaa wawilii tuu wewe apo ungezaliwa
Salamu nyingi zimfikie mzee wetu jk,Akusalimie na wewe mpendwa, mbona hajaleta salamu
Wametupendelea kwa kuwa vyeti vyetu ni o.g hatuna vyeti vya kununua wala kuunga ungaSerikali yenyewe hii imetusahau wafanyakazi wake ila kwa sie naona ka wametupendelea
Unapinga ukweli kwa kuwa wewe ni muongoBhana huo sasa uchochezi kwanini unapinga
Muongo au mheshimiwa S. muhongo utata eh, hebu lala mkuu,Unapinga ukweli kwa kuwa wewe ni muongo
Mkuu alale au apige kitabuMuongo au mheshimiwa S. muhongo utata eh, hebu lala mkuu,
Kivulini wapi, ndugu wenyewe ni nyieNgachokaa kumwene![]()
![]()
Ndio maisha vumilia tu mchumia juani ulia kivulini
Nimuite yuko wapi kwani, Sijamuona yaaniKawaida yangu kumficha atug, ngoja nimuite
Unono pia nawe ulale, vipi leo unapiga deshi mdogo wangu bila kuperuzi hata kidogoJamani kama vipi usiku mwema wakuu Leo nimechoka kweli yani.. Mulale unono
Unapinga kwa nini lakinii, kwani lazima jina la anko, aitwe SamattaBhana huo sasa uchochezi kwanini unapinga
Isiwe kesi basi, vipi Kuhusu mdogo wetu anaekufuata angekuwepoUngezaliwa!? Swali zuri sana me kwetu wa pili, pia ni kaka ooh kwa hiyo ningekuepo kwenye list iwe isiwe
Jk nimemmiss sana tabasamu lakeSalamu nyingi zimfikie mzee wetu jk,
Kitabu?? Amechoka banahMkuu alale au apige kitabu
Unga wa sembe au donaWametupendelea kwa kuwa vyeti vyetu ni o.g hatuna vyeti vya kununua wala kuunga unga
Bhanah we ni mvivu kwa mbaaali, acha kumponza mwenzio we maisha ushayaoteaKitabu?? Amechoka banah
Lake nyasa unalijuwa sakayoJk nimemmiss sana tabasamu lake
Sakayo naliona tu kwenye ramani, na ilikuwa miaka hiyooo.Lake nyasa unalijuwa sakayo