Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Wangu wametulia nina wake sita na nawapendana sana, na wote nawatimizia haja ya mioyo yao, wazima humu ndani! Naanza na wewe jirani sakayo
Sakayo niko poa kabisa mpendwa, habari za jumatatu
 
Wewe usifikirie vibaya mpenzi wangu sina hakika kama anapigwa nje kwa sababu sijaona dalili lakini nimemaanisha usiwe makini sana na suala la mapenzi hasa kuwaza mabaya kwa mwenza wako au kumfuatilia sana kumbuka mwanamke hachungwi hivyo mpe uhuru ila sio uhuru uliopitiliza ama uliovuka mipaka, ni ule uhuru wa wastani mjali mpende msaidie ndivyo tunavyotakiwa kuishi na wenzi wetu, wake zetu, wachumba zetu, dada zetu, n.k
Kwanini una wasiwasi juu ya jambo dogo mkuu...
Mkuu nimekupenda bure
 
Tunawapenda kweli yatima??? Tafakari, Je ni nani humu ndani ana utaratibu wa kuwatembelea yatima na kuwasaidia kwa chochote? Naamini hatuzidi hata kumi, muwe na roho ya upendo na ya kutoa
Kutoa tunatoa michango ya harusi tu, yatima tumewasahau kabisa
 
Kutoa tunatoa michango ya harusi tu, yatima tumewasahau kabisa
Kabisa mkuu, tusiwasahau hawa watoto, wanatuhitaji sana tuwasaidie hata kwa nguo za mtumba tuwapelekee sio kuchangia harusi tu, sakayo upo vizuri sana na shughuli za kijamii i like u mkuu
 
Back
Top Bottom