Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Wewe mkuu
Usitake kumkwaza mwenzio
mpe uhuru hayo maswali sio poa
mwanamke kupigwa nje au ndani kwa sasa chukulia kawaida kikubwa ni kutafuta pesa na kupiga hatua katika maendeleo uking'ang'ania mapenzi utaumia mkuu...
Just leave a long that sh!t...
Sh*t I didn't mean dat u quoted me wrong mkuu, sakayo and i known each other...
Wapendano wakigombana shika jembe ukalime...
Mkuu wako anapigwa sana nje enhee na wewe unatake easy samahani kwa hili Nina wasi wasi na wewe
 
Roho mchafu ananguvu kuliko tsunami, mkuu najua umewai tu Ila basi dada angu yaliyopita si ndwele tugange yajayo Ila msitufanyie hivyo jamani wanaume siku hizi tunapenda kweli kweli tunapopendwa
Tunapopendwa na sie hupenda pia, Jitahidi ukimpata umpende na umumjali. Ukiona mwanamke anachepuka jua kunaa analolikosa kutoka kwa mwanaume na amani huo ndo ukweli
 
Sh*t I didn't mean dat u quoted me wrong mkuu, sakayo and i known each other...
Wapendano wakigombana shika jembe ukalime...
Mkuu wako anapigwa sana nje enhee na wewe unatake easy samahani kwa hili Nina wasi wasi na wewe
Na wewe Usipende ugomwi bwana, huo ni mtazamo wake tu
 
Sh*t I didn't mean dat u quoted me wrong mkuu, sakayo and i known each other...
Wapendano wakigombana shika jembe ukalime...
Mkuu wako anapigwa sana nje enhee na wewe unatake easy samahani kwa hili Nina wasi wasi na wewe
Wewe usifikirie vibaya mpenzi wangu sina hakika kama anapigwa nje kwa sababu sijaona dalili lakini nimemaanisha usiwe makini sana na suala la mapenzi hasa kuwaza mabaya kwa mwenza wako au kumfuatilia sana kumbuka mwanamke hachungwi hivyo mpe uhuru ila sio uhuru uliopitiliza ama uliovuka mipaka, ni ule uhuru wa wastani mjali mpende msaidie ndivyo tunavyotakiwa kuishi na wenzi wetu, wake zetu, wachumba zetu, dada zetu, n.k
Kwanini una wasiwasi juu ya jambo dogo mkuu...
 
Tunapopendwa tunafurahi nasi tunawapenda
Tunawapenda kweli yatima??? Tafakari, Je ni nani humu ndani ana utaratibu wa kuwatembelea yatima na kuwasaidia kwa chochote? Naamini hatuzidi hata kumi, muwe na roho ya upendo na ya kutoa
 
Back
Top Bottom