Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Unawahi kazini unaacha utamu nyumbani kwa mkeo ndio maana anakusaliti
 
Sana sana watu wanasema hivo maana najiandaa kuinyoosha nchi 2020 maana inavurugwa badala ya kunyooshwa na mkemia
 
Maumivu ya kutendwa ni makali mno, habari za humu ndani
Ndani ya uhusiano wa kimapenzi kati ya mwanamke na mwanaume ambao wamebatizwa jina la wapendanao, au wapenzi kama si wachumba. la hasha wakishafunga pingu za maisha hubatizwa kwa jina la wanandoa kama si mke na mume, mahusiano ya hawa watu wawili kati ya jinsia mbili tofauti wakikwaruzana ni rahisi ama ngumu kurudiana kama si kupatana upya, hii inategemea na msingi wa uhusiano wao tangu mwanzo, aghalabu mahusiano kwa kizazi cha sasa kinaendeshwa na mfumo wa pesa, pesa hii huharibu kabisa uhusiano kati ya mke na mume kwa sababu mmoja wao kutaka kuonesha jeuri ya pesa aliyonayo na kusahau penzi lao la dhati la muda mrefu, tusaidie iwe mwenyezi mungu.
 
Kumbelezwa mnabembelezwa hela mnapewa lakini bado mnapigwa nje kwanini mko hivyo lakini!?
Lakini wewe huna mpenzi, unalalamika nini sasa. Acha umbea utasutwa mdogo wangu. We ukimpata akapigwa nje huku unampa hela jua humkunji vizuri
 
Lakini wewe huna mpenzi, unalalamika nini sasa. Acha umbea utasutwa mdogo wangu. We ukimpata akapigwa nje huku unampa hela jua humkunji vizuri
Vizuri sana kwa ushauri wako, mpenzi sina we si ulilataa kunipa yule anayekufuata sasa nitafanye jamani halafu kuna usemi huu, "we learn through mistake" kwa hiyo acha nijifunze...
Samahani mkuu ujawai kumcheat shemeji kweli wewe!?
 
Vizuri sana kwa ushauri wako, mpenzi sina we si ulilataa kunipa yule anayekufuata sasa nitafanye jamani halafu kuna usemi huu, "we learn through mistake" kwa hiyo acha nijifunze...
Samahani mkuu ujawai kumcheat shemeji kweli wewe!?
Wewe, kwanza naanzia wapi kumcheat jamani, ila kuna muda ambao napata vishawishi lakini nikikukumbuka tulipotoka namkemea roho mchafu
 
Vizuri sana kwa ushauri wako, mpenzi sina we si ulilataa kunipa yule anayekufuata sasa nitafanye jamani halafu kuna usemi huu, "we learn through mistake" kwa hiyo acha nijifunze...
Samahani mkuu ujawai kumcheat shemeji kweli wewe!?
Wewe mkuu
Usitake kumkwaza mwenzio
mpe uhuru hayo maswali sio poa
mwanamke kupigwa nje au ndani kwa sasa chukulia kawaida kikubwa ni kutafuta pesa na kupiga hatua katika maendeleo uking'ang'ania mapenzi utaumia mkuu...
Just leave a long that sh!t...
 
Wewe, kwanza naanzia wapi kumcheat jamani, ila kuna muda ambao napata vishawishi lakini nikikukumbuka tulipotoka namkemea roho mchafu
Roho mchafu ananguvu kuliko tsunami, mkuu najua umewai tu Ila basi dada angu yaliyopita si ndwele tugange yajayo Ila msitufanyie hivyo jamani wanaume siku hizi tunapenda kweli kweli tunapopendwa
 
Back
Top Bottom