Obama road iko wapocean road's name shifted to Barack Obama road
Wapi wanauza ngada..Obama road iko wap
Ngada ya nn bwana ww kula hata dona mbona ni Unga tuWapi wanauza ngada..
"Tu" si kiashiria kizuri cha ukomo wa kitu endapo na vingine vipo.Ngada ya nn bwana ww kula hata dona mbona ni Unga tu
Vipo vingi vitamu lakini asali ni mwisho wa maneno"Tu" si kiashiria kizuri cha ukomo wa kitu endapo na vingine vipo.
Wakuu habar zenuUnga tu wa sembe hauna stimu ocean road iko posta nyuma ya ikulu kule inaanzia pale soko la samaki ferry hadi wapi sijuh inapita viwanja vya bilicanas pale selena hotel... Sijui nipo sahihi wakuu!?
Habari zenu humu mmeshindaje jamani, miss nyie saana wanduguuuWakuu habar zenu
Mdogo wangu habari za kutwa, pole na majukumuNianguke ili iweje mdogo wangu
Majukum ni sehemu ya maishaMdogo wangu habari za kutwa, pole na majukumu
Hapa ni toxic9 ndo ananionea mkuu, heri ya mwaka mpya dear na karibu tena jamanii kwenye jukwaaNani analeta kelele hapa
Maisha ni matamu sanaMajukum ni sehemu ya maisha
sana kwa wanawakeMaisha ni matamu sana
Wanawake mungu atusaidiesana kwa wanawake
Njema kwenu pia wapendwa, habari za wewe apo mdogo wangu, mapambano vipiHabari zenu!? Mimi mzima wa afya nashukuru mungu, wikiendi iwe njema kwenu
Matamu sana zaidi ukiwa ushatimiza malengoMaisha ni matamu sana
Atusaidie sana maana tuna changamotoWanawake mungu atusaidie
Changamoto ni nying sana upande wanguAtusaidie sana maana tuna changamoto