Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Nani amekufundisha kutokuwa na adabu hivyo dogo, umeolewa na mkuda ehh shemeji gani hakufundishi namna ya kuongea kwa adabu na wakubwa zako, naona unanitafutia kesi
Kesi tena jamanii, yaani kutangulia mjini ndo ushakuwa mkubwa, haya shkamoo
 
Kesi tena jamanii, yaani kutangulia mjini ndo ushakuwa mkubwa, haya shkamoo
Shikamoo mpe mama hapo nyumbani, mimi unanipa kinafiki umekuwa sasa unaona umelingana na kaka yako, halafu nasikia umekuwa mtegeaji wa kazi mama analalamika sana, na mtoto wa mzee kipara nasikia anakumendea sana ngoja nirudi kijijini
 
Shikamoo mpe mama hapo nyumbani, mimi unanipa kinafiki umekuwa sasa unaona umelingana na kaka yako, halafu nasikia umekuwa mtegeaji wa kazi mama analalamika sana, na mtoto wa mzee kipara nasikia anakumendea sana ngoja nirudi kijijini
Kijijini huku ndo kwenyewe matunda kwa sana
 
Shikamoo mpe mama hapo nyumbani, mimi unanipa kinafiki umekuwa sasa unaona umelingana na kaka yako, halafu nasikia umekuwa mtegeaji wa kazi mama analalamika sana, na mtoto wa mzee kipara nasikia anakumendea sana ngoja nirudi kijijini
Kijijn ukatafte nn banaa wee komaa na jiji
 
Back
Top Bottom