Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,745
- 51,214
Mpira ni ajira sasa TZKiasi gani eti mwenyewe sio muumini wa mpira
Mpira ni ajira sasa TZKiasi gani eti mwenyewe sio muumini wa mpira
Imeendaje, leo nilikuwa busy kidogo mkuu ila yote ni kusukuma gurudumu la maendeleoKitabu kipo poa mkuu na Mimi nipo poa namshukuru Allah sijui kwa upande wako siku imeendaje!?
Tz vipaji vya mpira vipo hasa mashuleni ila kuviendeleza ndo tatizoMpira ni ajira sasa TZ
Shemeji yangu je ushanitambulisha pacha au unataka tutwangane?Nitakutwanga usipo nitambulisha shemeji yangu
Shemeji yangu je ushanitambulisha pacha au unataka tutwangane?Nitakutwanga usipo nitambulisha shemeji yangu
Tutwangane au nikutwange nikikushindwa naenda kwa witchdoctorShemeji yangu je ushanitambulisha pacha au unataka tutwangane?
Witchdoctor ni utapeli mtupu msaada pekee ni kwa Aliye juuTutwangane au nikutwange nikikushindwa naenda kwa witchdoctor
Mandeleo yanaletwa kwa ufanyaji kazi kwa bidii, tukomae Dada siku moja kitaeleweka tuImeendaje, leo nilikuwa busy kidogo mkuu ila yote ni kusukuma gurudumu la maendeleo
Tutwangane tu maana hakuna namna, atug sijamuona humu muda na mamaafacebookShemeji yangu je ushanitambulisha pacha au unataka tutwangane?
Witchdoctor hawa viumbe siwakubali maana ni waongo na niwapotoshaji sanaTutwangane au nikutwange nikikushindwa naenda kwa witchdoctor
...yupo humu pia?Juu=above all ni MunguWitchdoctor ni utapeli mtupu msaada pekee ni kwa Aliye juu
Pia umenishangaza hujawahi kumuona?? Yupo sana mkuu sema hizi siku mbili kapotea kidogo anahudumia ndoa huyo mamaafacebookMamafacebook![]()
![]()
...yupo humu pia?
Maliwato paheshimiwe mnoTumbo lao ndo lingekuwa maliwato
Kitaeleweka tu dogo langu, na yakishakubali lazima nikutafute tukamshukuru Mungu wanguMandeleo yanaletwa kwa ufanyaji kazi kwa bidii, tukomae Dada siku moja kitaeleweka tu
Ingekuwaje si wangevimbiwa mkuu, wale wanapata milo sita kwa sikuMungu ana ubaguzi wote tu sawa mbele zake imagine rich people wasingekuwa wanaingia maliwatoni sijui ingekuaje
Mamaafacebook, Ukhuty, Zz, supermarket wamelikimbia jukwaaPia umenishangaza hujawahi kumuona?? Yupo sana mkuu sema hizi siku mbili kapotea kidogo anahudumia ndoa huyo mamaafacebook