Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Utabiri wa toxic9 amepatia sijui alibahatisha au ni kipajiMkuu kumbe toxic9 ana kipaji cha utabiri
Utabiri wa toxic9 amepatia sijui alibahatisha au ni kipajiMkuu kumbe toxic9 ana kipaji cha utabiri
Kipaji kipo ndani yake...Utabiri wa toxic9 amepatia sijui alibahatisha au ni kipaji
Hali iliyopo ni kwamba pacha wangu t9 ana kipaji tena bab kubwa sio cha ubabaishaji km akina sheh yahaya full stopYake ni maamuzi ya msingi aliyoyafikiria, ila unaweza mshauri kulingana na hali iliyopo.
Mkuu umenifanya nichekeeMkenya ndio, una kipaji cha utabiri chunga usikiue mkuu

Stop unyanyasaji wa kijinsia na watotoHali iliyopo ni kwamba pacha wangu t9 ana kipaji tena bab kubwa sio cha ubabaishaji km akina sheh yahaya full stop
Watoto ni malaika hupaswi kuwanyanyasa...Stop unyanyasaji wa kijinsia na watoto
Kuwanyanyasa watoto mbele yangu ni sawa na kununua kifo mana ntakutwanga!!!Watoto ni malaika hupaswi kuwanyanyasa...
Magufuri au magufuli??Ntakutwanga usipoendana na kasi ya Magufuri
Magufuri 4changeNtakutwanga usipoendana na kasi ya Magufuri
4change!!ok,better to worse is changes tooMagufuri 4change
Utabiri ni kujua mambo yalofichika, hichi kipawa nitakitunza na kukiboreshaMkuu kumbe toxic9 ana kipaji cha utabiri
Kipaji hicho mkuu, Mungu ametupatia wanadamu vipawa mbalimbali, wewe chako ni kipi sakayoUtabiri wa toxic9 amepatia sijui alibahatisha au ni kipaji

Yake Anna leonard ana mengi mazuri kuliko mabayaKipaji kipo ndani yake
Iliyopo ndani yake mtanzania hakuna cha zaidi ya kuwaza maisha yalivyo magumuYake ni maamuzi ya msingi aliyoyafikiria, ila unaweza mshauri kulingana na hali iliyopo.
"Stop" nilisikia sauti ikisema, nikajiuliza nimetekwa ama nipo chini ya ulinzi kujeuka nikamkuta pacha langu dem boy,Aiseeeehhh umenistua twin vipi umetokea wapi usiku huu? Mzee alikuwa anakutafuta sana ukachinje mbuzi, nasikia kuna ugeni nyumbani, je unalijua hilo?Hali iliyopo ni kwamba pacha wangu t9 ana kipaji tena bab kubwa sio cha ubabaishaji km akina sheh yahaya full stop
Watoto ni faraja sana katika familia bi Aishah2016Stop unyanyasaji wa kijinsia na watoto
Nitakutwanga usipo nitambulisha shemeji yanguKuwanyanyasa watoto mbele yangu ni sawa na kununua kifo mana ntakutwanga!!!