British leave it behind bro, hebu tujadili mambo ya taifa letu, mpaka sasa ni yapi mazuri ni yapi mabaya, na je unaonaje tunapoelekeaEnglish fails me when I speak to the British
Oyeeee na uzuri wa picha ya kwenye account yako sijui ndo ww huyo kapua mchongoko kazuuuuriizuriJf oyeeee
Lazima tukatae na tuseme kwa pamoja sitaki rushwa, haya rudia sitaki rushwaAisehhh mwaka huu njaa lazima
Yangu ni mengi ya kuelezea WIZARA YA ELIMU .. Naona kuna moja lile, mbili na tatu ya kuweka safi ili tupate vijana ambao ni visionary and competent watakao leta chachu ya maendeleo katika taifa letuBritish airways sijaiona siku hizi kukatiza hapa juu ya usawa wa nyumba yangu
Vijana visionary and competent wapo lakini tatizo tuna utamaduni wa kuzingatia zaidi vyeti kuliko maarifa ya mtu, kuna vijana wengi tu wana mawazo mazuri sana lakini hawana elimu za vyuo vikuu na mitaji ya kutekelezea mawazo yaoYangu ni mengi ya kuelezea WIZARA YA ELIMU .. Naona kuna moja lile, mbili na tatu ya kuweka safi ili tupate vijana ambao ni visionary and competent watakao leta chachu ya maendeleo katika taifa letu
bbc naweza rekebisha lakini si mwaminja mapunga. Lilikuwa ni angalizo tu kwa yeyote kutumia angalau lugha ya staraMwaminja mapunga.. Basi ulini_quote mimi by mistakes, unaweza ukarekebisha bbc
Nchi ni yetu sote, tukatae mafisadi papaTaifa letu linakuwa kimaendeleo lakini hali za uchumi zimekuwa mbaya mno maisha yanakaba hadi unatamani uikimbie nchi
Yao mawazo yana mchango kweli but something is missing out kwa hao vijana, dunia ya sasa the global view bado inahitaji atlest uwende shule ili to face the challenges, and only way to prove umeenda shule ni vyeti baba, hilo halikwepekiVijana visionary and competent wapo lakini tatizo tuna utamaduni wa kuzingatia zaidi vyeti kuliko maarifa ya mtu, kuna vijana wengi tu wana mawazo mazuri sana lakini hawana elimu za vyuo vikuu na mitaji ya kutekelezea mawazo yao
Amani ilikuwa zamani maana siku hizi watu wamepoteza utu coz huwezi mpiga mwenzio na mkuki mdomoni ukatokea shingoni and you still claim there is peace surrounding us??Tanzania ya amani
Maisha tu ndo yanatufanya tupambane, habari za wewe apo mkuu, kwemaWabongo sio watu wa mchezo mchezo wanakomaa na maisha tu