Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Wengi wanajiuliza mwaka huu itakuwaje mwenyez Mungu atunusuru
Atunusuru kwa kweli, maana mwanzo wa mwaka tu tumeona hali isiyotarajiwa na watu wengi kuona biashara ya batter trade ya karne zile imerudi tena nyakati hizi maana tunaona mkulima na mfugaji wakibadilishana nafaka na mifugo yani debe moja la mahindi na mbuzi je uko mbeleni itakuwaje?? ni kama giza limetanda vile
 
BBC wamempongeza rais wetu kwa kuchapa kazi kweli kweli na wamesema wanaandaa ticket ya mtannzania mmoja kwenda uingereza nae ni toxic 9
 
Back
Top Bottom