Nathd
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 290
- 210
Kommando wa kwenye sinema letu la kuisoma nambaMagukhan ndo nani
Kommando wa kwenye sinema letu la kuisoma nambaMagukhan ndo nani
Namba kuzisoma ni lazimaKommando wa kwenye sinema letu la kuisoma namba
Nani alikuficha Ukhuty ukafichika mtoto wa kike hata salamu za siku kuu?? Heri ya mwaka mpya dear na karibu tenaMagukhan ndo nani
Thamani ya kitu huwezi ijua mpaka utakapo kipotezaNamba 0 ikiwa mwanzoni haiongezi kitu lakini ikiwa mwishoni inaongeza thamani
Tena hafai kwa lolote huyoNani alikuficha Ukhuty ukafichika mtoto wa kike hata salamu za siku kuu?? Heri ya mwaka mpya dear na karibu tena
Tena nimekaribia wapenzi nilipotea kwa muda tu sasa nimerudiNani alikuficha Ukhuty ukafichika mtoto wa kike hata salamu za siku kuu?? Heri ya mwaka mpya dear na karibu tena
Huyo nani tenaTena hafai kwa lolote huyo
Neno hana kivipi?si msubiri tuone km hana neno kweliHuyo mbona hana neno
Hakika mwaka huu utakuwa was baraka ndugu yangu Dada sakayo, supermarket bado anaishi ni jambo jema.. Jamani nwaka huu tujitahidi kufikia malengo yetu mwaka Jana ulikuwa mgumu kweli me sijafanikisha hata moja kwa kweli natumaini mambo yatakuwa mazuri kwa kila asomae huu ujumbe long live members NAD stay blessed this year we shall make it thank you guys all the bestPm ni mida ya mchana au jioni kwa mida ya kidhungu, kaka gbefa asante kwa salamu za mwaka mpya nawe pia uwe na mwaka wenye baraka tele. Mie nilisahau kuaga ila nilikuwa nachungulia humu na kuondokaa, kidogo nilikuwa busy na wakwe. Sijui supermarket alipotelea wapi lakinii natumaini yuko salama nae kauona mwaka
Kweli huu mwaka was baraka tumefungua na mvua afadhari mungu yu pamoja nasiNeno hana kivipi?si msubiri tuone km hana neno kweli
Haba hiyo ndo itakayookoa mazao yetu mashambaniKidogo si haba
All the best to you too my dearest brother, hakika Mungu ni mwaminifu atakutimizia mahitaji yako na amini mwaka huu ni mwaka uliokubalika mbele za Bwana na malengo yako yatatimia tu just have faith, endelea kubarikiwaHakika mwaka huu utakuwa was baraka ndugu yangu Dada sakayo, supermarket bado anaishi ni jambo jema.. Jamani nwaka huu tujitahidi kufikia malengo yetu mwaka Jana ulikuwa mgumu kweli me sijafanikisha hata moja kwa kweli natumaini mambo yatakuwa mazuri kwa kila asomae huu ujumbe long live members NAD stay blessed this year we shall make it thank you guys all the best
Nimerudi au umerudi kutoka wapi mamy, tulikumiss mno jukwaa lilifungwa mapema bila uwepo wakoTena nimekaribia wapenzi nilipotea kwa muda tu sasa nimerudi