Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,740
- 51,158
Nimemsamehe mimi piaYule aliyenifanya nilie hatimae nimemsamehe
Nimemsamehe mimi piaYule aliyenifanya nilie hatimae nimemsamehe
Tutafikaje wakati hakuna mipango na mikakati ya kudumu tofauti na tumbua tumbua? Hamuoni kuwa mwishoe mimi nitatumbuliwa ?Nyuma hakusimuliki sema km vp tukazeni tu tutafika
Vema tupambane kupinga uvuvi haramu maana wanamaliza samaki kitoweo kitamu sanaSamaki watamu walioparuliwa, ila Zanzibar na Mombasa ndiko huparuliwa vema
Mapema kabla hakijapoa mheshimiwa JPM anaenda pale anapiga chenga anampita beki nambari 3 anasogea kidogo anaruka tikitaka chali gooooooooal anafunga goli zuri sana ewura 0 huku JPM anaongoza goli mojaKabisa kabisa mtu unamtumbua siku ya January 1? Huoni kama unamtengenezea magonjwa ya moyo? Si angesubiri hata kesho asubuh na mapema.
Tutafika tu safari ya matumaini dem boyNyuma hakusimuliki sema km vp tukazeni tu tutafika
Nyuma 2016 kuna watu walisaulika, mlango ulifungwa watu wakatumia funguo za kuchonga hatimae tupo wote 2017Mbele wapi?inaonekana huko mbele ni kuchafu sana kuliko nyuma?
Mshindi bado sana kupatikana2017 ndio mwaka mgumu kuliko mwaka uliopita wa 2016.ndio maana mm mshindi.
Kupatikana kwake labda sote tuamue kumpa mmoja wetu hilo kombeMshindi bado sana kupatikana
Kombe linagombaniwa sana hiliKupatikana kwake labda sote tuamue kumpa mmoja wetu hilo kombe
Hili Kombe sijui hatma yake wapiKombe linagombaniwa sana hili
Wapi leo umefichwa sakayo?Hili Kombe sijui hatma yake wapi
Sakayo anakula mwaka mpyaWapi leo umefichwa sakayo?
Nini mkuu hii ilinipita pacha, ulisema nikipewa kiti ni kitu gani cha kwanza nitafanya?? Njoo hewani pachaToxic9 ukikaa kile kiti cha kwanza kufanya itakuwa nini
Sakayo nipo nimejaa teleWapi leo umefichwa sakayo?
Pacha utafanya nini cha kwanza magu akikuachia mjengo pale magogoni?Nini mkuu hii ilinipita pacha, ulisema nikipewa kiti ni kitu gani cha kwanza nitafanya?? Njoo hewani pacha
Pacha au mshkaji wako, mbona unanitishaaNini mkuu hii ilinipita pacha, ulisema nikipewa kiti ni kitu gani cha kwanza nitafanya?? Njoo hewani pacha
Magogoni kama huna moyo wa akiba hupawezi, bora tuendelee tu kubangaiza huku mtaaniPacha utafanya nini cha kwanza magu akikuachia mjengo pale magogoni?
Toxic9 anasema hichi kiti ni cha moto, kinipite mbali tu pacha, kumridhisha kila mwananchi ni kazi ngumu kuliko tunavyofikiri.. Labda ningekuwa na roho ngumu kama ya MugabeApishe kiti tu akae hata toxic9
Mwaka mpya 2017 wote tuseme oyeeee Inshallah Mungu atafanya magumu yawe mepesi tuupite mwaka vizuri na mafanikio kemkemSakayo anakula mwaka mpya