Mapema tumepewa tahadhari kwamba hali itakuwa ngumu zaid View attachment 45Kabisa kabisa mtu unamtumbua siku ya January 1? Huoni kama unamtengenezea magonjwa ya moyo? Si angesubiri hata kesho asubuh na mapema.
Taifa giza limetanda baada Ewura kuleta sintofahamu kwenye ongezeko la umemeWao ubusy wanaufanya kwa manufaa bnafsi au ya Taifa?
Atalinufaisha mheshimiwa JPM, yake mazuri ni mengi kuliko mapungufu, unaambiwa heri lawama kuliko fedhehaTaifa lenyewe limevurugwa nani atalinufaisha
Pesa is the source of evilSheria haina nguvu mbele ya pesa

Mtihani kweli kweli, pesa imekuwa ngumu naona wapiga dili wanaomba sana mheshimiwa apishe kitiPesa yenyewe kuipata imekua mtihani
Apishe kiti tu akae hata toxic9Mtihani kweli kweli, pesa imekuwa ngumu naona wapiga dili wanaomba sana mheshimiwa apishe kiti
Toxic9 ukikaa kile kiti cha kwanza kufanya itakuwa niniApishe kiti tu akae hata toxic9
Wakuu siku ya leo ni siku muhimu sana kwetu sote kwa kuwa tumefika hapa tukiwa wazima wa afya teleUchwara mtupu mwaka Jana hebu tuone mwaka huu wakuu
Mwaka mpya na mambo mapyaJana tu ndo tumeumaliza eti leo watu wamesahau mpute mpute wa uchumi ulivyotupumulia mpk wanaalikana kukesha baa kisa mwaka mpya
Mvua ni ishara ya baraka, lakini nilimsikia mnajimu mmoja akitabili nyota za watu kulingana na mwaka huu mpya na pia akasema mwaka 2017 ni mwaka wa mvua na upepo mkaliJana tu kulikuwa na jua ila leo tumeupokea mwaka na baraka za mvua
Mkali mungu akina magu zao mikwala tuMvua ni ishara ya baraka, lakini nilimsikia mnajimu mmoja akitabili nyota za watu kulingana na mwaka huu mpya na pia akasema mwaka 2017 ni mwaka wa mvua na upepo mkali
Samaki wana virutubisho vingi sana kwa afya ya mwili wa binadamu , epuka kula sana red meatBaba in the kitchen mie naomba mchemsho wa ndizi na samaki
, kitimoto nk, kula kitu kwa faida pia, karibu sana ila uje na wine
tahadhari binti sakayoJPM, anafanya kazi nzuri sana raisi wetu mpendwa,UDI na uvumba ili ugundue nini umemsahau Jpm
Nae anahitaji pongezi, tuache lawama tumpe ushirikiano mheshimiwa JPM, dem boy hali ni tete ila tutazoea huko mbeleJpm kazingua gbefa sina hamu nae
Nyuma hakusimuliki sema km vp tukazeni tu tutafikaMbele wapi?inaonekana huko mbele ni kuchafu sana kuliko nyuma?