atug
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,836
- 3,679
Baba in the kitchen nipikie ndizi samakiChakula gani unapenda leo nikupikie ndizi mchemsho samaki kodogo, wali maharage nazi, wali njegere rojo, wali maini, kuku choma na chips[emoji489], pilau kuku, mimi naingia jikoni mwenyewe leo, mwaka tuanze hivi baba in the kitchen