Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Ninayo sababu ya kusema nakukubali mtu wangu, maana sakayo ni mtu wa watu, ila sakayo yani wewe kiboko siku zote najuwa wewe ni ME jamani, nimefurahi kujuwa jinsia yako, mwaka mpya unaukaribishia wapi???
Wapi zaidi ya maeneo ya nyumbani tuu
 
Fulani alinidokezea ile siri ya mbunge mwenye kashfa.....
Kashfa zake ziko lukuki, kuzitabainisha nyoyo za watu zitakereka, hasa wale walio na maslahi ya karibu na uongozi wake, domo langu la ugali, kubwatuka ya watu tapigwa mkuki wa domo utokee nyuma...
 
Back
Top Bottom