Kwanza lazima ujue vipaumbele ndio upange hivyo vipaumbele, kuwa na vingi ni vizuri, kwani unakiwa na option ikiwa baadhi itafailMingi sana inaweza kukusababisha usifanikiwe bora kuwa na mipango michache kwanza
Wachizi wetu kweli toxic9Mkuu nipe gwala wewe wewe ndiyo mchizi wangu, nipe gwala tusiwaharibie mamaafacebook, kituko, atug, blacki womani, gbefa, minji, supermarket, Ukhuty,a.rahabu wote ni wachizi wetu

Humu hatujambo kabisa utokako kwemaJmn habar zenu humu
Kwema tena humu ndugu zangu?
Yule jamaa aliyepigwa mkuki Jana alitembelewa hospital anaendelea vizur kabisa na muda wowote ataruhusiwa kurudi Home
Home hali ngumu bora aendelee kuzuga tu huko huko hospitali labda anaweza pata sh mbili tatu za msaadaKwema tena humu ndugu zangu?
Yule jamaa aliyepigwa mkuki Jana alitembelewa hospital anaendelea vizur kabisa na muda wowote ataruhusiwa kurudi Home
Msaada atapata tu inshaalah, ila swala la kuzuga zuga ospital duh umetisha mkuuHome hali ngumu bora aendelee kuzuga tu huko huko hospitali labda anaweza pata sh mbili tatu za msaada

Mkuu ninatishaga sekta km izo,wengine hiyo ni fursaMsaada atapata tu inshaalah, ila swala la kuzuga zuga ospital duh umetisha mkuu![]()
Lipo unalonitafutaJoto Dar nalo lipo
Hakuna kuachia ngazi lazima mshindi ajulikaneJoto sana kipindi hiki hata dalili za mvua hakuna
Usiku nitampigia bae wangu msukuma alienipa KitukoMakaburini kunatisha hasa nyakati za usiku
Humu sodata mkuuJmn habar zenu humu
Mkuu ivi unajua mshindi wa hii kitu atapatikana lini?au ndo mpk wa mwisho ndo mshindi?Humu sodata mkuu
Home unarudi kwa mashaka wa kuwaza njemba watarudi tena wamgonge mkuki mwingine
Msaada akingoja basi atangoja sana, angalau hata profesa jay mheshimiwa alienda kumtembelea na kumpa moyo, bongo noma sanaHome hali ngumu bora aendelee kuzuga tu huko huko hospitali labda anaweza pata sh mbili tatu za msaada
Unalonitafuta ndiyo nini mamaafacebookLipo unalonitafuta