Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
50% ni kubwa sana kwao, wanastahili 20% ya maamuzi ya majukumu ya ndani na watotoHuku naona wanatupaka matope mkuu, wanawake tunawatimizia kila kitu lakini hawana shukrani, kwanza haki sawa 50% to 50%