Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Huku naona wanatupaka matope mkuu, wanawake tunawatimizia kila kitu lakini hawana shukrani, kwanza haki sawa 50% to 50%
50% ni kubwa sana kwao, wanastahili 20% ya maamuzi ya majukumu ya ndani na watoto
 
Nizipende au nisizipende, kama sina, sina tu. Tena mara nyinyi wanazipenda saanaaa wanakuwaga hawana pesa
Pesa haina mwenye nayo ila humfuata mwenye kuitaka, pesa humfuata anayezitafuta kwa jasho mwenye mikakati leo zaidi ya jana kwa kuwa anatia juhudi kuzitafuta leo kuliko jana yake, wewe huna ndiyo maana una bwabwaja, wanaozitafuta wanazo na wanazipenda pia wakina mo_dewj, mengi, rostam, lowasa wewe zubaa kaa kiboya
 
Pesa haina mwenye nayo ila humfuata mwenye kuitaka, pesa humfuata anayezitafuta kwa jasho mwenye mikakati leo zaidi ya jana kwa kuwa anatia juhudi kuzitafuta leo kuliko jana yake, wewe huna ndiyo maana una bwabwaja, wanaozitafuta wanazo na wanazipenda pia wakina mo_dewj, mengi, rostam, lowasa wewe zubaa kaa kiboya
Kaa kiboya ndio namna gani
 
Back
Top Bottom