Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kujibu hasingeweza zaidi ya kutetemeka na kuwa na kigugumizi
Kigugumizi kama kile chako ulichokipata hususani pale mamaafacebook alivyokuambia atakupa uroda maana hukuamini mtoto mzuri kama mamaafacebook kweli anakupa
 
Wanaongoza wanawake bwana, mbona mmeshaungana tena kutushambulia, toxic9 njoo kumesha haribika huku
Huku naona wanatupaka matope mkuu, wanawake tunawatimizia kila kitu lakini hawana shukrani, kwanza haki sawa 50% to 50%
 
Back
Top Bottom