Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Mkuu minji na wadau wote habarini za asubuhi, mmeamka poa,Anavyonya kuhusu nini mbona sikusomi mkuu
Ntakuja kesho Leo nimechokaNikufate wapi?, we nielekeze tu ntakuja
Usiku n muda mzuri wa kuongea na babyMakaburini sio sehemu za mchezomchezo hasa usiku
Kimyakimya hiyo vipi name bado sjaolewaHarusi ya nani yako?, mbona kimyakimya
Poa kabisa me sjambo mzima buheri wa afyaMkuu minji na wadau wote habarini za asubuhi, mmeamka poa,
Ntakuja kokote utakaponiambia nijeNtakuja kesho Leo nimechoka
Baby mtoto au Mr. MwenyeweUsiku n muda mzuri wa kuongea na baby
Nije wapi unioneNtakuja kokote utakaponiambia nije
Mkuu hujaelewekaAnavyonya kuhusu nini mbona sikusomi mkuu
Mwingine atokee wapi?, ndiye yeye..Mkuu ni wewe au tumsubir mwingine?
Unione leo saa kumi jioniNije wapi unione
Mwenyewe nimejiuliza ILA nilidhamiria baby wakoBaby mtoto au Mr. Mwenyewe
Jioni sehem Gani nikuoneUnione leo saa kumi jioni
Wako yuko wapi?Mwenyewe nimejiuliza ILA nilidhamiria baby wako
Nikuone wapi?, mi niko DarJioni sehem Gani nikuone