mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Sana umeadimikaTena yamekuwa magumu sana
Sana umeadimikaTena yamekuwa magumu sana
Huu muda wazima..... Sweetheart wangu toxic9 yuko wapi niitieniMjue uzi hauna mwisho huu
15% deduction hii ni kubwa sana kaa mkao kufirisika hakuna unafuu maisha haya, why now HESLB, mlikuwa wapi muda wote huoKawaida sana kwa nchi yetu kupandisha asilimia za wadaiwa sugu kutoka 8% mpaka 15%
Umeadimika wewe, sijui ulifichwa wapi?Sana umeadimika
Niitieni supermarketHuu muda wazima..... Sweetheart wangu toxic9 yuko wapi niitieni
Wapi unadhani me nilikuepo juzi Jana na leoUmeadimika wewe, sijui ulifichwa wapi?
O level ulipassHuo muda nilikuwa o level
Wananchi ni wa kupigwa mikuki midomoni na hakuna hatua yoyote ikioneka imechukuliwa, ila faru John amepata umaarufu magazetini on front pages baada ya kupoteaFaru john ni wathamani kwa watawala kuliko wananchi
Faru john is the famous creature in TanzaniaSiri imefichuka waliomuza faru john
Kupotea kwa supermarket kunaashiria niniWananchi ni wa kupigwa mikuki midomoni na hakuna hatua yoyote ikioneka imechukuliwa, ila faru John amepata umaarufu magazetini on front pages baada ya kupotea
Tanzania nakupenda nchi yenye mali nyingiFaru john is the famous creature in Tanzania
Leo ndio nakutia machoni, hope uko mzimaWapi unadhani me nilikuepo juzi Jana na leo
nyingi kuliko maelezoTanzania nakupenda nchi yenye mali nyingi
Wananchi ni wa kupigwa mikuki midomoni na hakuna hatua yoyote ikioneka imechukuliwa, ila faru John amepata umaarufu magazetini on front pages baada ya kupotea
Anafungwa asipo timiza azima ya kulipa deni,bad debt siku hizi serikalini hai-written off ni kukamata na kulipa, jiandae kutafutwa tu hakuna namnaJela!!!kwani mdaiwa anafungwaga?
Sana sana kila unacho kifanya hakileti tija, kilimo chali mfano hai korosho, ukiajiriwa chali bodi ya mkopo wanataka 15% deduction monthly aiseeeehhTena yamekuwa magumu sana
Mzima mie alhamdulillah umesalimika?Leo ndio nakutia machoni, hope uko mzima