mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Melezo mengine hayajitoshelezjN
nyingi kuliko maelezo
Melezo mengine hayajitoshelezjN
nyingi kuliko maelezo
Duniani tunapita... Supermarket naona sikukuu zimepamba motoHakuna namna ya kujitetea kama hukutebda haki duniani
Kuuliza so ujingaKupotea unataka mwenyewe, watu wote humu unashindwa kuuliza?
Upo wapi mtu wangu wa nguvu nimekumiss sana aisehhh mpaka nimekutafuta kwa tochi, nimefurahi kukuona hewani mtu wangu wa nguvuTena wewe nilikumiss upo
Nini???? Muone hahaha yani unarefusha hamja-mboooooooooooHamjamboooo nimeirefusha coz mpo wengi hahahahahahahaha umewaza nini
Aiseeeh, unaishi vipi sasa?Sana sana kila unacho kifanya hakileti tija, kilimo chali mfano hai korosho, ukiajiriwa chali bodi ya mkopo wanataka 15% deduction monthly aiseeeehh
Umesalimika ni swali zuri linaloonysha unajali, nimesalimika kwa kudra za mwenyezi MunguMzima mie alhamdulillah umesalimika?
Wangu mimi namgonga15% ndio ninampenda mpenzi wangu
% jinsi navyompenda, wewe hiyo 15% hapo sasa mapenzi gani unampa, kiuchoyo uchoyo tuMelezo mengine hayajitoshelezj
Huu mwaka mbona hauishi??????? Hii week imekuwa ndefu sana..Mjue uzi hauna mwisho huu
Ujinga kukaa kimyaKuuliza so ujinga
Niitieni atug wangu jamani, barafu wa moyo wangu nampenda ila simjui jamani sijuwi anataka mambo ya suprise siku ya ndoa my darling wangu, karibu kikombe cha kahawaHuu muda wazima..... Sweetheart wangu toxic9 yuko wapi niitieni
Wapi kada wa chadema mbona hawamfariji lema kwa kumtembelea gerezani, yani zitto ndiyo amekuwa comrade wa ukweli kwa lemaUmeadimika wewe, sijui ulifichwa wapi?
Nguvu ziliniisha mithili ya mfa maji nafsi nayo ikakiri n kweli nakuhitajiUpo wapi mtu wangu wa nguvu nimekumiss sana aisehhh mpaka nimekutafuta kwa tochi, nimefurahi kukuona hewani mtu wangu wa nguvu
Hamjamboooooooooo umeimanisha vyengine takuchapaNini???? Muone hahaha yani unarefusha hamja-mbooooooooooo
O level somo la physics ulikuwa una gonga marks ngapi mwisho wa muhula mzeya gbefa????Huo muda nilikuwa o level
Mungu n mwema sanaUmesalimika ni swali zuri linaloonysha unajali, nimesalimika kwa kudra za mwenyezi Mungu
Tuuuu kua single et ndio mpango mzimaWangu mimi namgonga% jinsi navyompenda, wewe hiyo 15% hapo sasa mapenzi gani unampa, kiuchoyo uchoyo tu
Supermarket kama hayupo na Ukhuty mhmhhh, ila kweli huyu jamaa kapoteaNiitieni supermarket