mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Kiuhakika tunazsoma Tena kwa kirumiWananchi kitu gani bwana kwenye awamu hii ya tano,wananchi jukumu lao kubwa ni kusoma number za kiuhakika
Kiuhakika tunazsoma Tena kwa kirumiWananchi kitu gani bwana kwenye awamu hii ya tano,wananchi jukumu lao kubwa ni kusoma number za kiuhakika
Kirumi kinazingua sometime km 3=iii kwann 33 isiwe iiiiii km sisi 3 halafu 33Kiuhakika tunazsoma Tena kwa kirumi
Mwalimu Msigwa yeye kila siku kufundisha aliyofundishwa na wengine hataki ku invent yake ningekuwa mm ningefundisha kirumi kivyangu vyangu mfano 3333=iiiiiiiiiiii hhhhhh33 kutoka kwenye iiiiii?? Ningekuwa mwalimu wa hisabati ningekupiga kipigo cha Mwalimu wa mbeya Msigwa
Somo gani mnasemea kwani? HamjambooooHhhhhh!!!! Mkuu hakunaga hisabati ya namna ile na kama itaanza kufanya kazi utakuwa umeleta mabadiliko kwenye hili somo
Somo hili pasua kichwa mkuu..Hhhhhh!!!! Mkuu hakunaga hisabati ya namna ile na kama itaanza kufanya kazi utakuwa umeleta mabadiliko kwenye hili somo
Mkuu mimi nakumbuka kwenye mtihani hili somo nilichora mtu anapiga pus upsSomo hili pasua kichwa mkuu..
Ups and downs katika maisha n jambo la kawaidaMkuu mimi nakumbuka kwenye mtihani hili somo nikichora mtu anapiga pus ups
Hamjamboooo!!!! mhmhhhh mamaafacebook mbona umerefusha neno hamjambooooooSomo gani mnasemea kwani? Hamjamboooo
Mkuu nasikia nawe ni mdaiwa sugu, jiandae kuilipa serekali au kuozea jelaSomo hili pasua kichwa mkuu..
Jela!!!kwani mdaiwa anafungwaga?Mkuu nasikia nawe ni mdaiwa sugu, jiandae kuilipa serekali au kuozea jela
Kawaida kawaida hakuna kawaida tena awamu hii maisha sio kawaida tenaUps and downs katika maisha n jambo la kawaida
Tena yamekuwa magumu sanaKawaida kawaida hakuna kawaida tena awamu hii maisha sio kawaida tena
Tena wewe nilikumiss upoKawaida kawaida hakuna kawaida tena awamu hii maisha sio kawaida tena
Hamjamboooo nimeirefusha coz mpo wengi hahahahahahahaha umewaza niniHamjamboooo!!!! mhmhhhh mamaafacebook mbona umerefusha neno hamjamboooooo
15% ndio ninampenda mpenzi wanguKawaida sana kwa nchi yetu kupandisha asilimia za wadaiwa sugu kutoka 8% mpaka 15%
Mjue uzi hauna mwisho huuKutoka 8% hadi 15% ni pa refu wakuu mjue