mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Hilo lipi umelionaHayajitoshelezi kwa kweli, nimeliona hilo
Hilo lipi umelionaHayajitoshelezi kwa kweli, nimeliona hilo
Kikombe cha kahawa ntakichukua usisahau kunipatia na kashata darling wa mie... Nipo hapaNiitieni atug wangu jamani, barafu wa moyo wangu nampenda ila simjui jamani sijuwi anataka mambo ya suprise siku ya ndoa my darling wangu, karibu kikombe cha kahawa
Sana ila soon 2017 itawadia inshallahHuu mwaka mbona hauishi??????? Hii week imekuwa ndefu sana..
Kimya n jibuUjinga kukaa kimya
Kapotea kimaajabuSupermarket kama hayupo na Ukhuty mhmhhh, ila kweli huyu jamaa kapotea
Supermarket kama hayupo na Ukhuty mhmhhh, ila kweli huyu jamaa kapotea
Kuuliza peke yake haitoshi, hapa ni viboko tu mpaka mtaje faru john alipoKupotea unataka mwenyewe, watu wote humu unashindwa kuuliza?
Kimya sio jibu, kwani huwa kina kishindo kikubwaKimya n jibu
Umeliona nilipoliwekaHilo lipi umeliona
Sasa hilo ni swali la sisi sote, hebu niambie wewe unaishije??Aiseeeh, unaishi vipi sasa?
Hapahapa JF.Kikombe cha kahawa ntakichukua usisahau kunipatia na kashata darling wa mie... Nipo hapa
Ubishani huleta ngumi mkuuKahawa maharufu sana mitaa ya kariakoo kwenye vijiwe vya ubishani
Unaishije na hali unayoilalamikia, mi nimekubali matokeoSasa hilo ni swali la sisi sote, hebu miambie wewe unaishije??
Nakuhitaji pia natafuta ubavu wa pili kwa udi na uvumbaNguvu ziliniisha mithili ya mfa maji nafsi nayo ikakiri n kweli nakuhitaji
Mzima wa afya wewe lakini??? Ila achana na mambo ya kuwa single, Mungu alisema eh nendeni duniani mkazaliane, sasa bili kugongana hao watoto watatoka wapiTuuuu kua single et ndio mpango mzima
Hapa nimekuona basi mimi nipo hoi dear nimefurahi kukuona sanaaaa, vipi baby nawe ni mdaiwa sugu?? Hapo kwa madeni baby sitaweza kukusaidia kwa kweli acha tu wakupeleke mahakamaniKikombe cha kahawa ntakichukua usisahau kunipatia na kashata darling wa mie... Nipo hapa
Inshallah God is great, atatufikisha new yearSana ila soon 2017 itawadia inshallah
Matokeo ya bila bila mkuuUnaishije na hali unayoilalamikia, mi nimekubali matokeo
Mahakamani sipelekwi maana nawapatia chaoHapa nimekuona basi mimi nipo hoi dear nimefurahi kukuona sanaaaa, vipi baby nawe ni mdaiwa sugu?? Hapo kwa madeni baby sitaweza kukusaidia kwa kweli acha tu wakupeleke mahakamani
Mkuu naaga let me sleep...Matokeo ya bila bila mkuu
Mkuu, usikate tamaa, pambana ni chaguo letu wenyeweMatokeo ya bila bila mkuu