Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mpendwa humu tena una baby... Kweli hii huo and me till death inaanza kutokuleta maana
Maana hapo nimefuatwa kanuni na taratibu za dini yangu ya Kiislamu dear naruhusiwa kuoa zadi ya mke mmoja jamani ilihali nawatimizia haja za mioyo yenu jamani
 
Mungu anakuona halafu WE supermarket uliyotufanyia jana kutuacha ukatimuka na Ukhuty, ila tuliendeleza kula good time, mamaafacebook hakuwa vizuri jana, ila black womani na atug tuliendelea kupata mishikaki
Mishkaki ya figo mitamu sana
 
Back
Top Bottom