Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,774
- 51,297
Kupumua ndiyo kuishi mkuu,yamekaba haswa...tunakoelekea tutashindwa kupumua!
Kupumua ndiyo kuishi mkuu,yamekaba haswa...tunakoelekea tutashindwa kupumua!
Suruali hata nyie wanawake mnavaa, simtaki jike mpiga picha za utupuSimtaki dume suruali
Utupe wake hauna thamani maana kila mara yupo uchi uchi hasa 0713Suruali hata nyie wanawake mnavaa, simtaki jike mpiga picha za utupu
0713 hii ni namba ya emergency mkuu?? nikipiga napata msaada desk helper fire?Utupe wake hauna thamani maana kila mara yupo uchi uchi hasa 0713
fire extinction0713 hii ni namba ya emergency mkuu?? nikipiga napata msaada desk helper fire?
Fire extenction au fire extinguisher mkuufire extinction
Mkuu ujue the English language is very the hard.Fire extenction au fire extinguisher mkuu
Hard way is only way mkuuMkuu ujue the English language is very the hard.
Mkuu wa shule ya msingi uvinza ni mke wanguHard way is only way mkuu
Wangu mimi mke sijampata bado ila naina Mungu hataniacha niingie mwaka bila kuwa na wa ubavu wangu, nimepata maono itakuwa mapema mwakani 2017 nahisi nitakuwa nae sehemu exclusive tukiukaribisha mwaka hapo pembeni tukipata milkshake ya vanila na strawberryMkuu wa shule ya msingi uvinza ni mke wangu
ashiiiKila la Kheri mkuu toxic9Wangu mimi mke sijampata bado ila naina Mungu hataniacha niingie mwaka bila kuwa na wa ubavu wangu, nimepata maono itakuwa mapema mwakani 2017 nahisi nitakuwa nae sehemu exclusive tukiukaribisha mwaka hapo pembeni tukipata milkshake ya vanila na strawberryashiii
Ashiii, bebi sawale Sawa Sawa sawale Sawa Sawa sawale ashiiii, Nimekumbuka mbali saanaWangu mimi mke sijampata bado ila naina Mungu hataniacha niingie mwaka bila kuwa na wa ubavu wangu, nimepata maono itakuwa mapema mwakani 2017 nahisi nitakuwa nae sehemu exclusive tukiukaribisha mwaka hapo pembeni tukipata milkshake ya vanila na strawberryashiii
Saana sakayo acha ndugu yangu mambo ya wazungu yanatupa raha, nimeutonesha moyo wako uliokuwa umeshapona am sure, vipi je zilikuwa ni good memories am sure naye anakukumbuka hivi hiviAshiii, bebi sawale Sawa Sawa sawale Sawa Sawa sawale ashiiii, Nimekumbuka mbali saana
Hivi hy ndoa utualikeSaana sakayo acha ndugu yangu mambo ya wazungu yanatupa raha, nimeutonesha moyo wako uliokuwa umeshapona am sure, vipi je zilikuwa ni good memories am sure naye anakukumbuka hivi hivi
X-mass hii nipo Dar... Nialike basi maana mie mgeni atiUtualike tuje kula senene kwanza x-mass hii![]()
![]()
Ati utakuwa kwa dar ahh basi x-mass itaenda vizuri wachaaa, ila siwezagi kupika chakula cha wengi, sasa mje hakuna namna mpike wakina mamaafacebook, sakayo, gbefa, supermarket, mzee wa T 199O ElY, black womani, zamaulid,rahabu x mass hiyoooooX-mass hii nipo Dar... Nialike basi maana mie mgeni ati
Mnaonaje mie nikawa mgawa vinywaji wengine wapikeHiyooo itakuwa bonge la mualiko au wakuu mnaonaje