Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Makubwa? Mtu anapojidhalilisha mwenyewe na kuona kana kwamba kadhalilishwaYake matatizo n makubwa
Makubwa? Mtu anapojidhalilisha mwenyewe na kuona kana kwamba kadhalilishwaYake matatizo n makubwa
Kadhalilishwa sana mwanamke Yule aliyefumaniwa Na mmewe mwanajeshi huko mwanzaMakubwa? Mtu anapojidhalilisha mwenyewe na kuona kana kwamba kadhalilishwa
Mwanza unatafuta nini hukoKadhalilishwa sana mwanamke Yule aliyefumaniwa Na mmewe mwanajeshi huko mwanza
Kadhalilishwa, kama hivyo basi sheria ichukue mkondo wakeMakubwa? Mtu anapojidhalilisha mwenyewe na kuona kana kwamba kadhalilishwa
Makubwa yaliyotekea mwaka 2016 ni kama yapiYake matatizo n makubwa
Nafasi yake ni kubwa katika jamii na dunia nzimaRomeo & Juliet movie ilikuwa nzuri leonard anafanya vizuri kwenye nafasi yake
Huko n kufanya mambo Bila maamuziMwanza unatafuta nini huko
Yapi unataka kuyajuaMakubwa yaliyotekea mwaka 2016 ni kama yapi
Mapya ni mengi ya kufanya 2017 likiwa la kufanya kazi za jamiiMwaka mpya na mambo mapya
Muda wakutembea huu evening walk ufukweniShangazi yangu mkali kweli ulikuwa ukirudi kutoka shule lazina aangalie muda
Budget ya serikali mwaka wa fedha 2016/2017 imewezeshwa bilions of Tsh na AFDB,Nimesahau kukutumia budget
Ufukweni kuna upepo mwananaMuda wakutembea huu evening walk ufukweni
Mapya ni mengi tunatarajia 2017 tutaona pale supermarket unapo funga ndoa na UkhutyMwaka mpya na mambo mapya
Shangazi shangazi hivi siku hizi vijana wasio na maadili wanatafuna hadi mashangazi zao, hili lipo sawa kweli?? Dunia ina mabadiliko sana siku to sikuUkhuty nimemuacha nyumbani kwa shangazi
Mkuu hahaha beach part imeishia pale umekutana na Ukhuty halafu hukuamini namna mtoto anavyo waka mtoto mrembo ukabaki mdomo wazi ukasema oh my God kwanini nilichelewa kukutana na Ukhuty, mara tukatokea mimi,black womani, atug na mamaafacebook ukafurahi sana ukaruka sana uku ukiagiza savana baridi kwa kila mtuNimesahau ile stori niliishia wapi, nilishafikia kwenye kuktana nae beach, au nimeshia wapi nikumbushe mkuu
Mwanana kabisa pembeni mihogo iliyo kaangwa vizuri kachumbari nyingi pilipiliiiiii kwa mbali huku atug una dekadeka unata kuogelea halafu hujuwi sasaUfukweni kuna upepo mwanana

Kuyajua ni vyema au hukumbuki Network imekata mamaafacebookYapi unataka kuyajua
Maamuzi sahihi ni yapiHuko n kufanya mambo Bila maamuzi
Sasa si ndo utanifundishaMwanana kabisa pembeni mihogo iliyo kaangwa vizuri kachumbari nyingi pilipiliiiiii kwa mbali huku atug una dekadeka unata kuogelea halafu hujuwi sasa![]()
![]()
![]()
![]()