mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Glass yangu nimeivunjaKawaida kama kunywa maji kwenye glass
Glass yangu nimeivunjaKawaida kama kunywa maji kwenye glass
Yako Na yangu tukiyachanganya tutapata nnUnamwamini kwa moyo wote na yeye anakuumiza bila kujali maumivu yako
Bati?, sasa wewe una bati usiku huu unaenda wapi, wakati hilo bati hata soda tu hupati.Glass ya kioo au bati?

Sikujui ni kauli ya kukataa kwa makusudiKwenu sikujui
Mashati ya mikono mirefu nayapenda akivaa mwanaumeBati?, sasa wewe una bati usiku huu unaenda wapi, wakati hilo bati hata soda tu hupati.
Asie na kitu mi naona bora akabaki, tusije mbele tukashikana mashati![]()
![]()
Chabo muhimu kakaVizuri tu mkuu endelea kufuatilia usituchungulie kwa kupiga chabo
Makusudi sjakufanyia nakujibu ukweli kwetu namuamini mama yanguSikujui ni kauli ya kukataa kwa makusudi
Sikujui, sikuzani, mwema, nuru ni majina ya kikwetu uchaganiKwenu sikujui
Kaka yako huyo?Chabo muhimu kaka
mashati ya kichina wala sio mazuri siwezi kuvaa hauo kabisaBati?, sasa wewe una bati usiku huu unaenda wapi, wakati hilo bati hata soda tu hupati.
Asie na kitu mi naona bora akabaki, tusije mbele tukashikana mashati![]()
![]()
Uchagani ndiko unakotokea? Karibu tanga kunaniSikujui, sikuzani, mwema, nuru ni majina ya kikwetu uchagani
Mwnaume ndio kichwa cha familiaMashati ya mikono mirefu nayapenda akivaa mwanaume
Huyo ndio umempa Ukaka wa Hiyari?Kaka yako huyo?
Familia Bora n ipiMwnaume ndio kichwa cha familia
Nini tena zaidi ya square mitaYako Na yangu tukiyachanganya tutapata nn
Hiyari yashindwa utumwa na ndie niliemkabidhiHu
Huyo ndio umempa Ukaka wa Hiyari?
Mita za kufanyia nini tena?Nini tena zaidi ya square mita
Jukumu jepesi sana hili, unataka awe vipi, white, smiling face, mrefu kiasi, handsome au taja wewe kwa muonekano awe vipi na sifaMimi nimeshindwa nakukabudhi wewe hilo jukumu
Hiyari yashindwa utumwa na ndie niliemkabidhi
Mita 100 mbele ya ofisi yangu ni bahariNini tena zaidi ya square mita