supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Uzeeni kuna raha, unaheshimika, unaskilizwa, unasaidiwa kila kitu na huku umetuliza akili na mwiliKijana, anayetumia ujana wake vizuri utafurahi zaid uzeeni
Uzeeni kuna raha, unaheshimika, unaskilizwa, unasaidiwa kila kitu na huku umetuliza akili na mwiliKijana, anayetumia ujana wake vizuri utafurahi zaid uzeeni
Urembo wangu hauwezi kupoteaYoung girl uzee lazima na uschana utapoteza mvuto na urembo
Nchi hii ukiota tu unaweza fungwaTajiri kuliko mkuu wa nchi
Uzeeni kuna raha, unaheshimika, unaskilizwa, unasaidiwa kila kitu na huku umetuliza akili na mwili
Kupotea utapoteza mvuto ukishakuwa mtu mzima, sura haikai vipodozi na poda, ngozi inasinyaa na kuchoka..sasa mtu mzima unataka mambo ya uschana?Urembo wangu hauwezi kupotea
Mwili wako ila utakushinda kubeba ndo uzee huoUzeeni kuna raha, unaheshimika, unaskilizwa, unasaidiwa kila kitu na huku umetuliza akili na mwili
Unaweza kufungwa kisa kuota tu acha uongo wwNchi hii ukiota tu unaweza fungwa
Mwili wako ila utakushinda kubeba ndo uzee huo
Huo uzee ukija ndo KheriMwili wako ila utakushinda kubeba ndo uzee huo
Usichana awaachie wasichanaKupotea utapoteza mvuto ukishakuwa mtu mzima, sura haikai vipodozi na poda, ngozi inasinyaa na kuchoka..sasa mtu mzima unataka mambo ya uschana?
Usichana na uzee vyote vitaacha Urembo wangu wa asili kama ulivyoKupotea utapoteza mvuto ukishakuwa mtu mzima, sura haikai vipodozi na poda, ngozi inasinyaa na kuchoka..sasa mtu mzima unataka mambo ya uschana?
Kupotea utapoteza mvuto ukishakuwa mtu mzima, sura haikai vipodozi na poda, ngozi inasinyaa na kuchoka..sasa mtu mzima unataka mambo ya uschana?
Wewe nawe kwani taarifa za mbunge wa Arusha wa chadema huna mpaka sasa kilichomtokea huko amekosa rufaaUnaweza kufungwa kisa kuota tu acha uongo ww
Ulivyo mzuri hivyoUsichana na uzee vyote vitaacha Urembo wangu wa asili kama ulivyo
Uzee huo unaouzungumzia ni wa kujikongoja mdogo mdogo na fimbo huku umepinda mgongoMwili wako ila utakushinda kubeba ndo uzee huo
Rufaa inawezekana ila wale wamembania tuWewe nawe kwani taarifa za mbunge wa Arusha wa chadema huna mpaka sasa kilichomtokea huko amekosa rufaa
Heri kuishi na mchawi kuliko fitinaHuo uzee ukija ndo Kheri
Mgongo wangu unaniumaUzee huo unaouzungumzia ni wa kujikongoja mdogo mdogo na fimbo huku umepinda mgongo
Wewe nawe kwani taarifa za mbunge wa Arusha wa chadema huna mpaka sasa kilichomtokea huko amekosa rufaa
