supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Tumia tu mkuu as long iko poa sana, kikubwa zaidi punguza mawazo na malengo mengi kichwa kinapata moto na inaleta effect ya chunusi, yani just relaxNyingi tena, mie natua detol tu
Tumia tu mkuu as long iko poa sana, kikubwa zaidi punguza mawazo na malengo mengi kichwa kinapata moto na inaleta effect ya chunusi, yani just relaxNyingi tena, mie natua detol tu
Nyimbo si ya lady Jay dee binti komando ss cjui ndo komando kipensiMawazo![]()
![]()
Kila mtu anayo mawazo, tukilala tukiamka tuna mawazo, tukitembea na tukikaa tuna mawazo. Nani anaikumbuka hii nyimbo

Hiyo miaka jide alikuwa anatukonga sana nyoyo.Hii nyimbo ya Jide ilitesa sana miaka ya hiyo
Relux!! Na relux sana tu sema mawazo huja automaticallyTumia tu mkuu as long iko poa sana, kikubwa zaidi punguza mawazo na malengo mengi kichwa kinapata moto na inaleta effect ya chunusi, yani just relax
Nyaku nyaku ndo nini sasaAman bongo hahaahaha nyaku nyaku
Mchicha tena ndugu, au kuna mafuta yakeDeto tu paka na mchicha![]()
Relux!! Na relux sana tu sema mawazo huja automatically

Kipensi kidogo kitakuenea kweliNyimbo si ya lady Jay dee binti komando ss cjui ndo komando kipensi![]()
Mafuta yake mwilini pia yanasababishwa na aina ya vyakula tunavyokulaMchicha tena ndugu, au kuna mafuta yake
Nyoyo zilifarijika kwa mashairi mazuri yenye kuvutiaHiyo miaka jide alikuwa anatukonga sana nyoyo.
Mawazo hayakwepeki hasa ukishakuwa mtu mzimaAutomatically kila mtu ana mawazo, Haijalishi ni mazuri au mabaya, swala bado lipo pale pale ni mawazo![]()
![]()
Mawazo, hata diamond alikunywa pombe apunguze mawazoAutomatically kila mtu ana mawazo, Haijalishi ni mazuri au mabaya, swala bado lipo pale pale ni mawazo![]()
![]()
Tunavyokula sisi sio kama mnavyokula nyieMafuta yake mwilini pia yanasababishwa na aina ya vyakula tunavyokula
Daimond kwenye video ya mawazo aliluwepo Lisa Jensen, Ommy dimpoz na jokateMawazo ni wimbo wa diamond
Jokate ni yule aliyeshiriki miss tanzaniaDaimond kwenye video ya mawazo aliluwepo Lisa Jensen, Ommy dimpoz na jokate
Nyie ni binadamu na sisi ni binadamu, tupendane, tuheshimiane na tuthaminiane kwa utu sababu hakuna tofauti kati yetu wewe na mimiTunavyokula sisi sio kama mnavyokula nyie
Jokate nimemsahau kabisaDaimond kwenye video ya mawazo aliluwepo Lisa Jensen, Ommy dimpoz na jokate
Sahihi ni kusema ukweliMawazo yake hayakuwa sahihi