supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Wanamsahau Mungu wengine walikuwa kwenye maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru leoAjabu ni pale watu wanapochati mpk wanamsahau mungu
Wanamsahau Mungu wengine walikuwa kwenye maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru leoAjabu ni pale watu wanapochati mpk wanamsahau mungu
Wanavutia sana machoniAjabu ya watoto wazuri wana sura na maumbo mazuri sana wanavutia
Machoni wamepaka wanja na juu kwenye kope wamepaka rangi nzuri, uso unavutia umepakwa podaWanavutia sana machoni
Poda zimepanda beiMachoni wamepaka wanja na juu kwenye kope wamepaka rangi nzuri, uso unavutia umepakwa poda
Bei sio ishu ilimradi upendeze, shemeji atalipia usijaliPoda zimepanda bei
Usijal tu mambo yatakuwa sawaBei sio ishu ilimradi upendeze, shemeji atalipia usijali
Usijali akiilipia nitachukua nianze kupodoaBei sio ishu ilimradi upendeze, shemeji atalipia usijali
Kupodoa mwili ni sh ngapUsijali akiilipia nitachukua nianze kupodoa
Sawa kwa sababu huku kwetu ni msimu wa maembe na mananasiUsijal tu mambo yatakuwa sawa
Sh ngapi vipi acha ugumu, jipake hata vitu asilia mafuta ya naziKupodoa mwili ni sh ngap
Maembe na mananas ni matamu sanaSawa kwa sababu huku kwetu ni msimu wa maembe na mananasi
Ngapi hela au nambaKupodoa mwili ni sh ngap
Mafuta ya nazi ndo mafuta ninayotumia tuuSh ngapi vipi acha ugumu, jipake hata vitu asilia mafuta ya nazi
Yatakuwa sawa siku moja utaishi kama malkia au mfano wake kwa maisha mazuri, hata waliokukimbia na kukoana huna thamani watajileta karibu kutaka undugu na urafikiUsijal tu mambo yatakuwa sawa
Ni matamu sana hasa ukiyala wakati umechokaMaembe na mananas ni matamu sana
Maembe siez yachokaUmechoka Kula maembe
Urafiki huanza kama mchicha na baadae hukua kama mbuyuYatakuwa sawa siku moja utaishi kama malkia au mfano wake kwa maisha mazuri, hata waliokukimbia na kukoana huna thamani watajileta karibu kutaka undugu na urafiki
Urafiki ni mzuri kama ukimpata mtu mwenye nia nzuri na weweYatakuwa sawa siku moja utaishi kama malkia au mfano wake kwa maisha mazuri, hata waliokukimbia na kukoana huna thamani watajileta karibu kutaka undugu na urafiki