supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Plastic ni kombe la kunywea ujiKombe la la dhahabu au la plastic
Plastic ni kombe la kunywea ujiKombe la la dhahabu au la plastic
Usingizi wa kutosha unapumzika mchana na ikifika usiku mzima unajisomea bila kulalaUji nilikunywa sana wakati nasoma advance tena na maandazi ikifika saa 7 lazima utafute bweni ukadoji usingizi wa kutosha
Usingizi wa kutosha unapumzika mchana na ikifika usiku mzima unajisomea bila kulala
Mwili wako ni bonge na una kitambi kikubwa kama mimiKulala kunapumzisha akili na mwili
Mm ni mwembamba kama eric omondiMwili wako ni bonge na una kitambi kikubwa kama mimi
Eric omondi anaigiza na kuchekesha vizuri kama mc pilipiliMm ni mwembamba kama eric omondi
Eric omondi anaigiza na kuchekesha vizuri kama mc pilipili
Bado kidogo tu bora aongeze juhudiMc pilipili hajamfikia bado
Mawazo hayawezi kuisha kwa style hii ya maisha ya mwendo kasilock haitoki bar ladba upunguze mawazo
Mwendo kasi zinapoingia bara bara zisizo za mwendokasi, je na hizi zingine nazo ziingie kwao?Mawazo hayawezi kuisha kwa style hii ya maisha ya mwendo kasi
Kasi hii ya maisha mpaka ukikuta nazi imevunjwa njia panda unachukua na kwenda kupikia mboga.Mawazo hayawezi kuisha kwa style hii ya maisha ya mwendo kasi
Mboga za majani, zabibu, chokleti, vitunguu saumu, ndizi na karanga zinaongeza nguvu za kiumeKasi hii ya maisha mpaka ukikuta nazi imevunjwa njia panda unachukua na kwenda kupikia mboga.
Chocolate ukila sana meno huharibikaNguvu za kiume mpk chocolate aisee ngoja nipunguze ulaji wa chocolate.
Chocolate inasaidia kuongeza stamina kwenye kufanya mapenzi kwasababu ina viambato vya phenylethylamine na alkaloid. Phenylethylamine ni kiambato kinachopelekea kujisikia vizuri, hasa wakati wa kufanya mapenzi na alkaloid huongeza stamina na nguvu wakati wa mapenzi.Nguvu za kiume mpk chocolate aisee ngoja nipunguze ulaji wa chocolate.

Huharibika meno sababu ya sukariChocolate ukila sana meno huharibika
Sukari tunayotumia inatoka ndani ya nchi pekeeHuharibika meno sababu ya sukari
Pekee? Umesahau kuna sukari iliagizwa kutoka njeSukari tunayotumia inatoka ndani ya nchi pekee