Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Cna au DNA? Maana kama umechanganya vile..Kosa mm cna
Cna au DNA? Maana kama umechanganya vile..Kosa mm cna
vile uvisikiavyo si sawa na uvionavyo na uvionavyo si sawa na uvisikiavyo.Cna au DNA? Maana kama umechanganya vile..
Uvisikiavyo na uvionavyo, vinaweza vikawa sawa au la inategemea na mazingiravile uvisikiavyo si sawa na uvionavyo na uvionavyo si sawa na uvisikiavyo.
Uvisikiavyo na uvionavyo, vinaweza vikawa sawa au la inategemea na mazingira
Mazingira yaliyopo ktk kiwanda cha Dangote yana sintofahamu....!!Uvisikiavyo na uvionavyo, vinaweza vikawa sawa au la inategemea na mazingira
Mnavyopambana katika mnada wa bidhaa zilizo taifishwa bandarini....Sintofahamu akishinda mwingine kwa jins nnavyopambana
Bandarini cku izi hamnaga ujinga tenaMnavyopambana katika mnada wa bidhaa zilizo taifishwa bandarini....

Tena ukiingia bila kibali unachukuliwa hatuwa...Bandarini cku izi hamnaga ujinga tena![]()
![]()
Hatuwa au hatua? Maana sijaelewa kama ambavyo ishu ya Dangote ilivyo na sintofahamuTena ukiingia bila kibali unachukuliwa hatuwa...
Hatua zikipigwa tatu wanarudi nne tujipongeza...Tena ukiingia bila kibali unachukuliwa hatuwa...
Tujipongeze pale tunapo toa matamshi utumbo hadharani kidamunasi....!!Hatua zikipigwa tatu wanarudi nne tujipongeza...
Kidamunasi au kadamnasi? Mbona leo kuna sintofahamu nyingi kimaneno kama mambo ya Dangote?Tujipongeze pale tunapo toa matamshi utumbo hadharani kidamunasi....!!
Kidamunasi dah imebidi nichekeTujipongeze pale tunapo toa matamshi utumbo hadharani kidamunasi....!!
Nicheke wee endelea kunicheka, Siku ukitumbuliwa nami ntasherehekea !!Kidamunasi dah imebidi nicheke
Nicheke? Hapana siyo vizuriKidamunasi dah imebidi nicheke
Nitasherehekea na ww zamiluniNicheke wee endelea kunicheka, Siku ukitumbuliwa nami ntasherehekea !!
Siyo vizuri kukaa kimya wakati jirani anaongea na weweNicheke? Hapana siyo vizuri
Vizuri, kwanza uliza hiyo mali ni ya nani? ili uweze kusherehekea na Aishah2016 sikukuu....Nicheke? Hapana siyo vizuri
Skukuu kwa.mimi mkristo nitakula sana nyama ya kitimoto na biaVizuri, kwanza uliza hiyo mali ni ya nani? ili uweze kusherehekea na Aishah2016 sikukuu....