Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Komesha wote mwaka huu
Mwaka huu upo mwishoni kuisha, kesho keshokutwa ni christmassKomesha wote mwaka huu
Imekaribia na sijajiaandaa badoChristmas imekaribia
Imekaribia na sijajiaandaa bado
Nini zaidi ya kujipanga fasta fasta, nisipitwe na skukuuBado wasubir nn
Skukuu nazo ukiziendekeza January utaianza kwa machoziNini zaidi ya kujipanga fasta fasta, nisipitwe na skukuu
Skukuu nazo ukiziendekeza January utaianza kwa machozi
Machozi ya mnyonge wako uyakimbie maana hutochukuwa raundi......Skukuu nazo ukiziendekeza January utaianza kwa machozi
Machozi ni nyimbo ya lady jaydee album yake ya kwanza inaimba hivi " nailazimiisha furaha, ingawa moyoni nina majonzi, nani wa kunifuta machozi, umeondoka umekwenda mbali"Skukuu nazo ukiziendekeza January utaianza kwa machozi
Machozi ni nyimbo ya lady jaydee album yake ya kwanza inaimba hivi " nailazimiisha furaha, ingawa moyoni nina majonzi, nani wa kunifuta machozi, umeondoka umekwenda mbali"
Mtima wange umesema nani kakutenda nije kumpiga mimiMbali na mtima wange
Mm nimetendwa na fala mmoja iviMtima wange umesema nani kakutenda nije kumpiga mimi
Hivi inakuwaje unamwita fala wakati ndio alikuwa mchumbaMm nimetendwa na fala mmoja ivi
Hivi inakuwaje unamwita fala wakati ndio alikuwa mchumba

Asojielewa yaweza kuwa upande wowote... Kulaumiana haileti tija !!!!Mchumba asojielewa![]()
Tija ni yeye hataki kubali mapungufu ya mchumba ake na kukubali kosaAsojielewa yaweza kuwa upande wowote... Kulaumiana haileti tija !!!!
Kosa mm cnaTija ni yeye hataki kubali mapungufu ya mchumba ake na kukubali kosa