Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Furaha jipe mwenyewe upate kuwa katika anga za Trump !!!Maisha ni haya haya mkuu endelea kuwa na furaha
Furaha jipe mwenyewe upate kuwa katika anga za Trump !!!Maisha ni haya haya mkuu endelea kuwa na furaha
Maisha ni magumu usikate tamaa usiyachukulie kama mzigo bali yawe ni changamotofuraha itoke wapi kwenye ugumu huu wa maisha?
Changamoto kwenye maisha ni nyingi sanaMaisha ni magumu usikate tamaa usiyachukulie kama mzigo bali yawe ni changamoto
Nyingi sana zinaumiza kichwaChangamoto kwenye maisha ni nyingi sana
kichwa mpk kinaumaNyingi sana zinaumiza kichwa
Kinauma kiuno unapo beba overload ya mabegi ya safari.....kichwa mpk kinauma
Safari ni ndefu usichoke kupambanaKinauma kiuno unapo beba overload ya mabegi ya safari.....
Kupambana bila kuwa na malengo yenye faida ni kupoteza nashati na wakati wako bila matokeo...Safari ni ndefu usichoke kupambana
Tamaa ya kulumbikiza mali na kukusanya utajiri wakutisha ni moja ya ufisadi ulovuka mipaka...Matokeo ya uchaguzi huwaacha wapiga kura katika hali ya kukata tamaa
Mipaka ya Tz haina ulinzi mzuri,wasomali bado wanaingiaTamaa ya kulumbikiza mali na kukusanya utajiri wakutisha ni moja ya ufisadi ulovuka mipaka...
Wanaingia wahamiaji haramu wa aina nyingi kutokea Magharibi,mashariki,kusini,kaskazini mwa mipaka ya nchi hii tokea enzi hizo .. bila kufuatiliwa !!Mipaka ya Tz haina ulinzi mzuri,wasomali bado wanaingia
Kufuatiliwa bila uangalizi ni upuuz mtupuWanaingia wahamiaji haramu wa aina nyingi kutokea Magharibi,mashariki,kusini,kaskazini mwa mipaka ya nchi hii tokea enzi hizo .. bila kufuatiliwa !!
Wapi maeneo??nahisi utakuwa ushafika chalinze mzeeUpuuzi mtupu pale ambapo haijulikani mpaka wa Tz na Malawi uko wapi
Mzee ni umri unaobeba heshima ktk jamii.., Lakini siku hizi wazee ndo wachokozi wa kuvunja ndoa..Wapi maeneo??nahisi utakuwa ushafika chalinze mzee
Tano jumlisha sifuri ni ngapiMzee yule ni swala tano
Ndizi ni tunda lenye kukidhi vitamins zakutosha mwilini....Ngapi zimebaki hizo ndizi