Haraka toka ndani ukimbie njeUba mi naona ni nzuri zaid na haraka
Basi la mkoani limefika stendi ya ubungoLakini uba ni usafiri unaotumika masaa 24 na unapatikana haraka. Binafsi nikiwa na haraka zangu natumia uba siwezi kusubili basi
Mademu wameenda disco kujirushaMademu
Nazipenda zinafuata sheria za barabara.Basi za uba mazipenda
unaangalia mtu wa mwisho kutuma msg ndio unaendelea. Ukijibu msg ya jana au asubuhi tunarudi nyuma na kupoteza muelekeo.
karibu tuendelee na mchezo wa mwisho ndo mshindiMshindi ni mimiTina na tetramelyz: kwenye uzi huu unatakiwa kumuangalia mtu wa mwisho amemaliza na neno gani, halafu wewe unaendelea.."wa mwisho ndo mshindi" ona nawaonyesha mfano,
Haraka toka ndani ukimbie nje
Basi la mkoani limefika stendi ya ubungo
Mademu wameenda disco kujirusha
Nazipenda zinafuata sheria za barabara.
unaangalia mtu wa mwisho kutuma msg ndio unaendelea. Ukijibu msg ya jana au asubuhi tunarudi nyuma na kupoteza muelekeo.
karibu tuendelee na mchezo wa mwisho ndo mshindi

Mimi nitakuwa mgeni mualikwa mtoa zawadiMshindi ni mimi![]()
Gari kwenye sherehe alipewa kama zawadiMmmmh naona mi sjaelewa uba ipi mnayo ongerea mi nchi ninayo ishi kuna magari yanaitwa uba nikama kampuni ukiitaji muda wote unawatumia sms na mtaa uliopo na kipindi inakuja wanakuwekea kwenye sim yako picha ya mtu anae kuijia na aina ya gari
Haraka haraka haina barakaUba mi naona ni nzuri zaid na haraka
Baraka zinatiririkaHaraka haraka haina baraka
Zinatiririka binaadam wakiamrishana mema na kukatazana mabayaBaraka zinatiririka
Mabaya yamekithiri dunianiZinatiririka binaadam wakiamrishana mema na kukatazana mabaya
Mtaa wa pili nyumba ya jirani kumeibiwa vyomboTunapita tu, tulikuja kuwasalimia ndugu zetu mtaa wa pili.
Vyombo kwa maana ya bia au vyombo kwa maana ya masufuri na sahani kwenye upishi?Mtaa wa pili nyumba ya jirani kumeibiwa vyombo
Gari hizo za UBA na huku Tanzania zipo... unaweza ukaangalia kwenye google map na kujua gari iliyoko karibu na wewe ipo wapi...ukiita inakufuata ulipoMmmmh naona mi sjaelewa uba ipi mnayo ongerea mi nchi ninayo ishi kuna magari yanaitwa uba nikama kampuni ukiitaji muda wote unawatumia sms na mtaa uliopo na kipindi inakuja wanakuwekea kwenye sim yako picha ya mtu anae kuijia na aina ya gari
Upishi wa siku hizi wengine wanajipikia tu ilimradi siku ipiteVyombo kwa maana ya bia au vyombo kwa maana ya masufuri na sahani kwenye upishi?
Mazee humu ndani niajeIpite isipite mpishi bora ni mama tu mazee
Niaje man uko poaMazee humu ndani niaje
Poa & shwariiiNiaje man uko poa