Kwani hakuna watu wanaohitaji elimu?ila kusema kweli chuo Kigoma cha nini?
Kwani hakuna watu wanaohitaji elimu?ila kusema kweli chuo Kigoma cha nini?
Mkuu una point nzuri, lakini katika kuwasilisha ujumbe, kwanini utumie lugha ya kitaa?...'jikaze'...'kaza' ama 'kukazana', hilo ni neno1matumizi mbalimbali kwa nyakati tofauti.pole.... jikaze 2020 usifanye kosa
Hahahaaaa! Duhila kusema kweli chuo Kigoma cha nini?
Na wafe tu washenzi wale.
Niliwahi kuomba nafasi ya kujiunga st John,eti nikakosa wakati ufaulu wangu ni mzuri kabisa.Nilichoshangaa,mtu ninayemfahamu,akiwa hata o'Level amefeli,na hajawahi kurudia mtihani hata siku moja,alichaguliwa kujiunga na kozi niliyoomba,kwa mlungula tu.
Kama vile haitoshi,kuna watu wamepata degree na huku wakiwa darasa la saba tu.Walichofanya ni kununua watu wakawafanyia mitihani ya form four,ili wapate credits na walizipata.Sasa huko chuoni ilikuwa ni kuhonga walimu tu hadi wana degree zao.
Siwaonei huruma kama kufa na wawafe maana wamezalisha wajinga wengi mno mtaani.Hawa ndio kazi yao kutukana watu wasio na degree,huku wao wakishindwa kuonesha usomi wao.Tena siku hizi wanapenda kutukana hata wasomi wa udsm,kwa kuwa wao walikosa sifa za kuingia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wafe tu washenzi wale.
Niliwahi kuomba nafasi ya kujiunga st John,eti nikakosa wakati ufaulu wangu ni mzuri kabisa.Nilichoshangaa,mtu ninayemfahamu,akiwa hata o'Level amefeli,na hajawahi kurudia mtihani hata siku moja,alichaguliwa kujiunga na kozi niliyoomba,kwa mlungula tu.
Kama vile haitoshi,kuna watu wamepata degree na huku wakiwa darasa la saba tu.Walichofanya ni kununua watu wakawafanyia mitihani ya form four,ili wapate credits na walizipata.Sasa huko chuoni ilikuwa ni kuhonga walimu tu hadi wana degree zao.
Siwaonei huruma kama kufa na wawafe maana wamezalisha wajinga wengi mno mtaani.Hawa ndio kazi yao kutukana watu wasio na degree,huku wao wakishindwa kuonesha usomi wao.Tena siku hizi wanapenda kutukana hata wasomi wa udsm,kwa kuwa wao walikosa sifa za kuingia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app

nacheka kama mazuri vile!Toa sababu za uhakika.Vitakufa vyuo vya makanisa ya demokrasia ila Saut haiwezi kufa
Nilitegemea kanisa lijivunie kupeleka watu mbinguni badala yake kanisa linaona fahari kuwa na ma vyuo mengi. Feeling prestigious on material thingsHii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Choka tu. Kwani una mchango gani kwa nchi
Nilitegemea kanisa lijivunie kupeleka watu mbinguni badala yake kanisa linaona fahari kuwa na ma vyuo mengi. Feeling prestigious on material things
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi vyuo kama uyoga wa mvua za kiangazi inabidi Serikali ifuatilie.Vingine havina sifaya kuwa vyuo vikuu.Wahitimu wake kazi kupiga milegezo,viduku,piko,kutinda nyusi,vinguo taiti vya kulalia na kuvaa ovyo bila nidhamu mitaani.Kila Baba Mhashamu Askofu anataka Chuo Kikuu jimboni mwake. Fikiria Jimbo la Mbinga nao wanataka Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Kizito Litumbandyoso - Mbinga.
naomba ueleze kwa kirefu mkuu kivipi?
Acha kukurupuka wewe, kapitie staff list ya UDSM, SUA, UDOM...ndio uje uandike huu upupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
UDOM ipo college ya afya paleKwenye list hii hamna hata chuo kimoja cha afya tutajenga taifa la kwenda kutibiwa nje?