and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,109
PoleniNawafahamu wafanyakazi wote wa SAUT chuga...nawaza hapa utakua nani wew..ila kuna mfanyakaz mmoja nahisi labda ni wewe
PoleniNawafahamu wafanyakazi wote wa SAUT chuga...nawaza hapa utakua nani wew..ila kuna mfanyakaz mmoja nahisi labda ni wewe
Mkatoliki kaja sasaHii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu
Sent using Jamii Forums mobile app



Na phd yako ya theology unataka upewe kazi SUA kufundisha kozi za agriculture general? au veterinary surgery! you are not serious..Jaman mtuonee huruma tuna familia zinatutegemea au kwa sababu tumesomea PhD in Theology?
Vipi MUHAS
U nailed itNa phd yako ya theology unataka upewe kazi SUA kufundisha kozi za agriculture general? au veterinary surgery! you are not serious..
Mkuu siwatajifunza na ujasiriamali wa kukamua mafuta ya mawese(chikichiki)ila kusema kweli chuo Kigoma cha nini?
MUM wanapeta na wanampango wa kuanzisha Master's degree hivi karibuni kwasababu PHD order's wako nao wakutosha kwa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!Leo nimetoka TRA,kodi yangu wamezidisha eti mara 2!
Nikamuuliza why,akasema eti kuna vi-penati fulani fulani,nikamjibu sawa bwana kama unaona ni haki kuonea wanadamu wenzio wenye nyama na damu kama wewe!
Then I left!
Halafu nione matako yeyote kwenye ukoo wangu anaipa CCM kura!Naua mtu!
Mbona awamu ya 4 mlikuwa amleti lawama kwa TRA au kwakua wakazikazin awajashika mpin?nmecheka kwa sauti japo inaumiza bro alafu siku izi muda wa kulipa TRA ukifika awakukumbushi siku ukienda kulipa na faini tu ndo malupu lupu washagundua plan B yakupiga hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Kiwango Duni (KIWADU).
Bsc. in African Witchcraft
Na phd yako ya theology unataka upewe kazi SUA kufundisha kozi za agriculture general? au veterinary surgery! you are not serious..
Ni sawa
Ila kura zikiwa nyingi mno hata wakiiba hawataweza!
Matokeo huwa wanategeneza tu hata kura ziwe nyingi vipi watashindwaje kuibaa
Si ulimsikia Mkulu anasema CCM itaongoza Milele ,Hawa jamaa hawawezi kukubali kushindwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Choka tu. Kwani una mchango gani kwa nchiNahamia Kenya..nishachoka mwili na roho aiseee!
Choka tu. Kwani una mchango gani kwa nchi
Ukihama nchi (kama hata huo uwezo unao wa kuhama) kama nchi inapoteza nn zaidi ya kupunguza vibaka wa power window mtaani!Wewe ndio una mchango gani sasa?
Weka bank statement yako hapa tuone!
Hii arrogance ya kujifanya hii nchi ni yako zaidi ya watu wengine inakufanya uonekane mpumbavu zaidi.
Basi tu wacha ninyamaze
Baada ya 10years ataondoka?Unajua sababu?
Kwanza mpango wa serikali ya Magufuli ni kuhakikisha mashirika yote ya Binafsi yanakufa,
Pili Vyuo vyenyewe hazikuboresha mazingira wakajisahau, sasa njia ili vyuo vife ni kuwaacha wanafunzi wachague wanapotaka siyo kupangiwa na TCU hivo vimekosa wanafunzi maana wakuu wa vyuo walikuwa wanahonga kupata wanafunzi