Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).

Leo nimetoka TRA,kodi yangu wamezidisha eti mara 2!

Nikamuuliza why,akasema eti kuna vi-penati fulani fulani,nikamjibu sawa bwana kama unaona ni haki kuonea wanadamu wenzio wenye nyama na damu kama wewe!

Then I left!

Halafu nione matako yeyote kwenye ukoo wangu anaipa CCM kura!Naua mtu!
 
Hii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu
Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimetoka TRA,kodi yangu wamezidisha eti mara 2!

Nikamuuliza why,akasema eti kuna vi-penati fulani fulani,nikamjibu sawa bwana kama unaona ni haki kuonea wanadamu wenzio wenye nyama na damu kama wewe!

Then I left!

Halafu nione matako yeyote kwenye ukoo wangu anaipa CCM kura!Naua mtu!
CCM haitaji kura ili ishindee
Usije kusema sikukwambiaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie wanasayansi WaWili nguli wa kikatoliki. Toka vyuo vikuu vya kikatoliki.
**Kesho nitawataka ndugu zetu nao watutajie watalaamu (sio watengeneza mabomu ya kujitoa muhanga)
 
st geogle university,st matayo academy,St joshua college etc hivi vyuo vilikuwa kibiashara zaidi,wafunge tu,
 
Back
Top Bottom