Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

Hivi vyuo binafsi vilkuwa vinapigania kupata ruzuku tu ya serikalo wakati vingi havina ubora unaotakiwa.
 
Hii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kanisa katoliki ndiyo nini mdini wewe? Nenda SAUT tawi la Mtwara uone wafanyakazi wanavyolia (Stellar Maris),nenda SAUT tawi la Bagamoyo (Maruco). Kote huko hawana mishahara, na Maruco ndiyo mbaya zaidi hata wanafunzi hawapo.

Kanisa lenyewe hili linaongozwa na wafiraji halafu unatamba?
 
Hii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga wewe sadaka zenu na hata hivyo vimasaada mnavyopata kutoka Vatican havitoshi kuendesha vyuo.katoliki lilikuwa linaishi kiujanja ujanja Ku enrolled wanafunzi wengi kwenye vyuo ili kupewa ruzuku ya kutosha na serikali hivi sasa mambo yamebana utaona kama vita survive
 
Nitajie wanasayansi WaWili nguli wa kikatoliki. Toka vyuo vikuu vya kikatoliki.
**Kesho nitawataka ndugu zetu nao watutajie watalaamu (sio watengeneza mabomu ya kujitoa muhanga)
Wataalam watoke wapi katoliki bwana!! Anajishebedua tu huyu mbwiga, udini umemjaa. Katoliki inaongozwa na walawiti na wafiraji tu. Papa kila siku anaomba radhi
 
Siku UDSM itakapoajiri mwalimu aliyesoma SAUT/ St John au St Joseph, itaburuza mkia kwenye rankings za vyuo Afrika na Duniani...

UDSM kwa mfano ni chuo kinachotoa Honorous degree. So its virtually difficult kumleta mtu aliesoma Ordinary Bachelor Degree kuja kuwafundisha watu wa honorus degree!
Acha kukurupuka wewe, kapitie staff list ya UDSM, SUA, UDOM...ndio uje uandike huu upupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimetoka TRA,kodi yangu wamezidisha eti mara 2!

Nikamuuliza why,akasema eti kuna vi-penati fulani fulani,nikamjibu sawa bwana kama unaona ni haki kuonea wanadamu wenzio wenye nyama na damu kama wewe!

Then I left!

Halafu nione matako yeyote kwenye ukoo wangu anaipa CCM kura!Naua mtu!
Ha ha ha ha ha ha me nilijua utasema nione mtu yoyote wa TRA ananizoea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kuongeza tu ni kwamba hata hili tawi la mbeya wahadhiri wake wamechoka sana kiasi cha kuonekana ni sehemu ya wahadhiri kufanya mazoezi ya kazi za lecturer, vyoo vichafu, hakuna WiFi, ni mwendo wa ubao tu hakuna projector, n.k

Pia ukiachana na saut kuna hawa ndugu zao teku waliweka pesa Mbele huku huduma zikiwa mbovu na sasa ni mara ya pili kufungiwa udahili wa wanafunzi.

Kwa upande wa vyuo vya serikali hapa mbeya cbe ni kituko, ni sehemu ambayo hata kilaza mwenye zero au aliye disco vyuo vingine akija pale anateleza tu, licha ya hivyo tawi hili la cbe limo ndani ya majengo ya open university kitu ambacho ni kituko na imefikia kipindi wamekodisha ukumbi wa kota za b.o.t kwa kufundishia vipindi, bogus kabisa hili tawi la cbe linafanya elimu ya chuo ionekane kama elimu ya vidudu.
 
Back
Top Bottom