and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,110
Takbiir
Hapo Main Campus kuna nini hata?SAUT ingewekeza nguvu main campus. Haya matakataka mengine haya yafe. They lacked vision. Kingekuwa chuo kikubwa mno TZ na Africa mashariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinondoni kushapendeza tayari. Hakika tunajivunia ndugu zetu wa damu toka MorokoNilitegemea kanisa lijivunie kupeleka watu mbinguni badala yake kanisa linaona fahari kuwa na ma vyuo mengi. Feeling prestigious on material things
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hujaitaja Muslim University of Morogoro?Vyuo vya kuaminika Bongo vipo vitatu 1. UDSM 2. MUHAS 3. SUA
KweliSAUT ingewekeza nguvu main campus. Haya matakataka mengine haya yafe. They lacked vision. Kingekuwa chuo kikubwa mno TZ na Africa mashariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani Kama lengo la serikali ya magufuli Ni kuua sekta binafsiUnajua sababu?
Kwanza mpango wa serikali ya Magufuli ni kuhakikisha mashirika yote ya Binafsi yanakufa,
Pili Vyuo vyenyewe hazikuboresha mazingira wakajisahau, sasa njia ili vyuo vife ni kuwaacha wanafunzi wachague wanapotaka siyo kupangiwa na TCU hivo vimekosa wanafunzi maana wakuu wa vyuo walikuwa wanahonga kupata wanafunzi
Umezunguka Sana mkuu Ila hoja yako kuu ilikuwa kulenga UDSM sijui panakuuma Nini Mkuu wangu!! Ungekuwa Neutral ungetaja Basi na udhaifu wa hapo UDOM kwako au usingetaja UDSM!!Vyuo vyote bongo ni vya ovyo tu hakuna nafuu wala afadhali.Wahitimu wote toka Ud,Udom,Sua,sijui wap ,St zote ni kutwa kuangaika na mabahasha hakuna anaeweza kufaragua mazingira akatengeneza maisha yake yakawe mazuri.Vyuo vyote havijui maana ya elimu nini vipo kukamilisha ratiba basi.
Kama UDSM ni chuo bora wakati waalim wahapo ni kama Kabudi analialia na kimuabudu binadam mwenzake,ni kama Mwakyembe alafu useme UDSM ni chuo bora? Kuweni serious ndugu zangu Tanzania vyuo vyote ovyooo kabisa.
Mimi nilisoma UDOM lakini nikiangalia niliosoma nao na wengine waliotangulia tena GPA za kuanzia 3.5 kichwani hamna kitu ,waliacha hapo kwenye karatasi.Wasomi wote watanzania tupo kwenye mfereji wa maji machafu,tunajua kuandika tu ila sikufanya kwa vitendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).
Hii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).
Eti kiwango duni? Who is this idiot? Mimi nimesoma UDSM lakini hakuna Chuo Kikuu cha Kitoto kama UDOM na UDSM. Lecturer akikuona mzuri unapata desa la mtihani kiulaini na na Special Project unandikiwa fasta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wewe unatilia chumvi kwenye kidonda. Kwa nini mazingira yasiboreshwe vyuo vyote vilivyopo vidahili na viendelee? Hapo tutakuwa tunarudi nyuma. Vyuo vya mashilika binafsi hususani ya dini yana umuhimu mkubwa sana kuendana na idadi kubwa ya wahitimu wa sekondari kidato cha nne na sita. Utakuwa ni shaidi kuwa kila mwaka wahitimu wanaongezeka.
Eti kiwango duni? Who is this idiot? Mimi nimesoma UDSM lakini hakuna Chuo Kikuu cha Kitoto kama UDOM na UDSM. Lecturer akikuona mzuri unapata desa la mtihani kiulaini na na Special Project unandikiwa fasta.
Sent using Jamii Forums mobile app