Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

KIU sijui kama wanaweza kulipa mishahara Zama hizi za janga
 
Unajua sababu?
Kwanza mpango wa serikali ya Magufuli ni kuhakikisha mashirika yote ya Binafsi yanakufa,

Pili Vyuo vyenyewe hazikuboresha mazingira wakajisahau, sasa njia ili vyuo vife ni kuwaacha wanafunzi wachague wanapotaka siyo kupangiwa na TCU hivo vimekosa wanafunzi maana wakuu wa vyuo walikuwa wanahonga kupata wanafunzi
Sidhani Kama lengo la serikali ya magufuli Ni kuua sekta binafsi
Labda useme vyuo vikuu vimekosa ubunifu, mfumo was elimu ya Tanzania kwao ujumla Ni hovyo , elimu haimjengi mwanafunzi aweze kujitegemea hvyo vyuo vilipaswa kubuni kozi mbadala zitakazowawezesha wanafunzi kujitegemea
Hebu fikiria hata wakati huu wa janga la covid Ni aibu Sana kwa vyuo vikuu kushindwa kuendelea na masomo na wanafunzi wao(online)
Hi Ni aibu kubwa Sana Sana , hakuna ubunifu kabisaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyuo vyote bongo ni vya ovyo tu hakuna nafuu wala afadhali.Wahitimu wote toka Ud,Udom,Sua,sijui wap ,St zote ni kutwa kuangaika na mabahasha hakuna anaeweza kufaragua mazingira akatengeneza maisha yake yakawe mazuri.Vyuo vyote havijui maana ya elimu nini vipo kukamilisha ratiba basi.

Kama UDSM ni chuo bora wakati waalim wahapo ni kama Kabudi analialia na kimuabudu binadam mwenzake,ni kama Mwakyembe alafu useme UDSM ni chuo bora? Kuweni serious ndugu zangu Tanzania vyuo vyote ovyooo kabisa.

Mimi nilisoma UDOM lakini nikiangalia niliosoma nao na wengine waliotangulia tena GPA za kuanzia 3.5 kichwani hamna kitu ,waliacha hapo kwenye karatasi.Wasomi wote watanzania tupo kwenye mfereji wa maji machafu,tunajua kuandika tu ila sikufanya kwa vitendo

Sent using Jamii Forums mobile app
Umezunguka Sana mkuu Ila hoja yako kuu ilikuwa kulenga UDSM sijui panakuuma Nini Mkuu wangu!! Ungekuwa Neutral ungetaja Basi na udhaifu wa hapo UDOM kwako au usingetaja UDSM!!

Typed Using KIDOLE
 
Ni kweli kiwango chenu ni duni sana.Mnapeana alama Bar na kwenye Nyumba za kulala wageni.

Nimeshuhudia muuguzi alikuwa amefanyiwa mtihani wa kidato cha nne ili ajiendeleze,alifanikiwa kusoma st john akapata degree kwa kuwekeza pesa nyingi kwa wahadhiri,na hatimae alienda kusoma masters na kwenyewe alitumia mbinu hiyo hiyo.
Nawashangaa sana wasomi wa Tanzania maana wengi wanatoka kwa jinsi hii na ndio maana akiingia kazini anakuwa mchawi tu ili asiguswe na mtu
Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisa katoliki la wapi?

Hujui watu walikuwa walimu walishinikizwa kufaulisha watu fulani fulani na maaskofu?
Au unaishi Ulaya hadi tutumie nguvu sana kukuelezea udhaifu mkubwa uliopo?
Hii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti kiwango duni? Who is this idiot? Mimi nimesoma UDSM lakini hakuna Chuo Kikuu cha Kitoto kama UDOM na UDSM. Lecturer akikuona mzuri unapata desa la mtihani kiulaini na na Special Project unandikiwa fasta.
Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna msichana mzuri anayefeli Chuo kikuu Tanzania,labda awe anamwogopa sana Mungu.

Kwa hiki kizazi,kupata msichana mzuri anamcha Mungu,ni vigumu kama kuokota dhahabu manzese.

Ukikuta anafanya ibada sana,ujue alishaharibu sana!
Eti kiwango duni? Who is this idiot? Mimi nimesoma UDSM lakini hakuna Chuo Kikuu cha Kitoto kama UDOM na UDSM. Lecturer akikuona mzuri unapata desa la mtihani kiulaini na na Special Project unandikiwa fasta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UDSM
UDOM
Mzumbe
SUA
IFM
CBE
TIA

Vibaki hivi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wewe unatilia chumvi kwenye kidonda. Kwa nini mazingira yasiboreshwe vyuo vyote vilivyopo vidahili na viendelee? Hapo tutakuwa tunarudi nyuma. Vyuo vya mashilika binafsi hususani ya dini yana umuhimu mkubwa sana kuendana na idadi kubwa ya wahitimu wa sekondari kidato cha nne na sita. Utakuwa ni shaidi kuwa kila mwaka wahitimu wanaongezeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati nzuri nyie wenyewe ndio mnatoaga siri

Kama ulipewa desa la mtihani na kusaidiwa kufaulu shukuru Mungu tu maana wakikukazia,hata kama ni genius,utajiona huna lolote
Eti kiwango duni? Who is this idiot? Mimi nimesoma UDSM lakini hakuna Chuo Kikuu cha Kitoto kama UDOM na UDSM. Lecturer akikuona mzuri unapata desa la mtihani kiulaini na na Special Project unandikiwa fasta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom