Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Habari!
Niende moja Kwa moja maada, habari kutoka kwa wahusika, hali ya kifedha vyuo vikuu Tanzania so njema, inasemekana, ndaki, skuli, idara toka mwaka jana mwezi Juni hawapati pesa za uwendeshaji, mathalani hata karatasi tu za kuchapishia mitihani ya mazoezi ni shida tu, je hazina na Waziri wa elimu na wakurugenzi wanafahamu hilo, Rais wa nchi anajua hilo, waziri mkuu anajua hilo?
Mamlaka husika amkeni hali ya kifedha vyuo vikuu vya Umma si shwari, vyuo vingi hicho mnachoita OC/ sijui mapato ya ndani hawana kuhimili mzigo wa uendeshaji.
Sisi tuliopo Dodoma tuna fursa ya kufahamu mengi kazi kwenu wahusika vyuo vikuu viko katika hali ya aibu. Madokezo mbalimbali tunayaona timizeni wajibu.
Ikiwezana waambieni waitishe minada ya kuuza baadhi ya magari ili wajikimu kibajeti.
Sio ajabu wakuu wa vyuo pesa za vikao, safari, na extra duty allowances, na overtime wanazo, huku skuli, ndaki, idara, directorates zikiwa hoi
Kazi kwenu
Wabillahi
Niende moja Kwa moja maada, habari kutoka kwa wahusika, hali ya kifedha vyuo vikuu Tanzania so njema, inasemekana, ndaki, skuli, idara toka mwaka jana mwezi Juni hawapati pesa za uwendeshaji, mathalani hata karatasi tu za kuchapishia mitihani ya mazoezi ni shida tu, je hazina na Waziri wa elimu na wakurugenzi wanafahamu hilo, Rais wa nchi anajua hilo, waziri mkuu anajua hilo?
Mamlaka husika amkeni hali ya kifedha vyuo vikuu vya Umma si shwari, vyuo vingi hicho mnachoita OC/ sijui mapato ya ndani hawana kuhimili mzigo wa uendeshaji.
Sisi tuliopo Dodoma tuna fursa ya kufahamu mengi kazi kwenu wahusika vyuo vikuu viko katika hali ya aibu. Madokezo mbalimbali tunayaona timizeni wajibu.
Ikiwezana waambieni waitishe minada ya kuuza baadhi ya magari ili wajikimu kibajeti.
Sio ajabu wakuu wa vyuo pesa za vikao, safari, na extra duty allowances, na overtime wanazo, huku skuli, ndaki, idara, directorates zikiwa hoi
Kazi kwenu
Wabillahi