Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,528
Ha ha ha Mambo hadharani
Ni suala la muda tu.Ni heri vife tu tena kama st john's university Dodoma ni wababaishaji kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali tete wandugu. Imebidi watu tuwe ma-MC & ma-dj bila kutaka
Double blow. Ndo maana Mc-chachandu anachanganyikiwa. Ukichanganya na kashfa
Pole mkuuJaman mtuonee huruma tuna familia zinatutegemea au kwa sababu tumesomea PhD in Theology?
Sasa hicho ndio kipawa alichokupa Mungu.Nimejiongeza nimekuwa MC wa sherehe
MmmhNtungu
Uchawi huu!Ni heri vife tu tena kama st john's university Dodoma ni wababaishaji kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitakufa vyuo vya makanisa ya demokrasia ila Saut haiwezi kufa
Utatupiwa majiniJamaa zetu Msamvu hali yao sijui ipoje
Tawi la Arusha hawajalipwa mbona jamaa zetu tunao huku kitaa wanalia njaa na sio Mara hii tu hata huko nyuma ulipaji ni danadana wengine mpaka wanaenda kupiga part time bagamoyo mkono uende kinywani.Hali ni mbayaHii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu
Sent using Jamii Forums mobile app
KIWADU 😂 😂 😂 😂Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).