Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

Hii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kiki za kitoto. Kanisa katoliki lililozalisha wasomi wenye mchango duniani sio hili la Tanzania.
 
Ukihama nchi (kama hata huo uwezo unao wa kuhama) kama nchi inapoteza nn zaidi ya kupunguza vibaka wa power window mtaani!
Mitandao ilivyo ya kifala. Unaweza kukuta hapa mtu na mama yake wanajibishana.
 
Angalia historia ya wanasayansi wote wakubwa wa kidunia walipikwa na taasisi gani kama sio kanisa katoliki. Hata uvaaji wa yale magauni ya wahitimu wa vyuo vikuu vyote duniani ,yameasisiwa na kanisa katoliki. Poor you! Huna unalolijua
Nitajie wanasayansi WaWili nguli wa kikatoliki. Toka vyuo vikuu vya kikatoliki.
**Kesho nitawataka ndugu zetu nao watutajie watalaamu (sio watengeneza mabomu ya kujitoa muhanga)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom