Vodacom, tiGO wapandisha tena bei za vifurushi vya Internet. Nape unafanya kazi gani?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,505
51,106
Katika hali inayoelekea kuonyesha ukosefu wa uthibiti wa bei za vifurushi, Mitandao ya simu imeendelea kupandisha bei za vifurushi.

Hadi jana shilingi 2500 ulikuwa unapata MB 1400, Sasa leo wameshusha tena, mtu unapata MB 1229

Hawa watu huenda wanafanya haya mambo kwa ridhaa ya serikali, maana TCRA ipo, wizara ya mawasiliano ipo lakini hizi bei zinapanda kila kukicha na Waziri mara kibao wananchi wakilalamikia gharama za vifurushi kupanda huwa anakuja hapa kuwapiga watu kiswahili
 
Go for Tigo Business Pack Data Only (Postpaid)!!

Kama sio Jini Mfyonza Data, hii inaweza kuwasaidia sana.

Binafsi, mimi ni Jini Mfyonza Data lakini pamoja na yote hayo, leo October 20, nimebakiwa na 14GB out of 80GB.

Of course, hazitanifikisha mwisho wa mwezi lakini majority 80GB zinawatosha, au hata kifurushi cha 30GB ambacho nadhani ni 25K bado wengi kinawatosha sana.

Na hiyo 80GB ni only 60K.

Changamoto ni speed lakini sio kwamba huwezi kufanya kazi!!
 
Kama hicho ofa maaalum wameona tunafaid hizo dakika. Mwanzo ilikua 2000 unapata dk 100 na gb 1.kwa wik
Wakaona hapana.wakafuta dk 100 zikawa 30 na mb 1000.na kitu najiuliza kwanin kwenye vifurush vingine wanasema gb 1 ila hicho cha ofa wanaandika mb 1000 badala ya kusema gb.ni nini malengo?

No sawa sawa na kumwambia mtu nakupa laki kumi.kwa nin usiseme nakupa mil.1? Au inakua mb 1000 ila pale kunakua na boshen flan mana kinaenda sio poa ghafla mteja umefika 75%ya matumizi.

Ila mungu sio athuman japo wanatudhulum kwa kila hali mara salio limekatwa kwa kujiunga na game mara sijui mb zimeliwa na auto update anawakomesha hela hazina baraka
 
Go for Tigo Business Pack Data Only (Postpaid)!!

Kama sio Jini Mfyonza Data, hii inaweza kuwasaidia sana....
Haya makampuni ni Cartels.

Ukiona Voda wamepiga Panga MB, tegemea in few days na makampuni mengine kufanya the same.

Hawa jamaa wanakaa kwenye meza wanakubaliana waminye kwa pamoja ili wasiharibiane biashara
 
Haya makampuni ni Cartels.
Ukiona Voda wamepiga Panga MB, tegemea in few days na makampuni mengine kufanya the same.
Hawa jamaa wanakaa kwenye meza wanakubaliana waminye kwa pamoja ili wasiharibiane biashara
Kampuni zote bado hawajazichezea Postpaid though I know it's just a matter of time kabla na postpaid hawajaanza kuzichezea, especially wakiona watu wengi wamehamia huko.
 
Katika hali inayoelekea kuonyesha ukosefu wa uthibiti wa bei za vifurushi, Mitandao ya simu imeendelea kupandisha bei za vifurushi.

Hadi jana shilingi 2500 ulikuwa unapata MB 1400, Sasa leo wameshusha tena, mtu unapata MB 1229

Hawa watu huenda wanafanya haya mambo kwa ridhaa ya serikali, maana TCRA ipo, wizara ya mawasiliano ipo lakini hizi bei zinapanda kila kukicha na Waziri mara kibao wananchi wakilalamikia gharama za vifurushi kupanda huwa anakuja hapa kuwapiga watu kiswahili
Hamia Tuh Safaricom Maana ISP wa Tanzania na Serikali ni Kichwa Cha Mwendawazimu🤧
 
Back
Top Bottom