Kuelekea mwezi mpya; Vifurushi vya Internet vimepanda tena gharama

adriz

JF-Expert Member
Sep 2, 2017
10,950
23,092
Moja kwa moja..

Kuelekea mwezi wa tano leo nimeona Vifurushi vingi vya Internet vimeongezeka gharama hapo swali kabisa kipindi cha mtelezo tulikuwa tunapata 1Gb kwa eflu Moja baadae kupanda kufikia kiasi cha Tsh 1500 kwengine(Voda) ikiwa Tsh2000 .

Leo kuna mabadiliko ya bei ya Vifurushi karibia mitandao yote mfano Tigo saizi yako ulikuwa unapata Gb kwa buku jero sasa buku mbili , Ttcl wazee wa bufe nao wamepiga kitu kizito na Zantel nao wameunga mkono juhudi kama wameambizana aisee hali ipo hivyo.

#PutinAlaumiwe
 
Moja kwa moja..

Kuelekea mwezi wa tano leo nimeona Vifurushi vingi vya Internet vimeongezeka gharama hapo swali kabisa kipindi cha mtelezo tulikuwa tunapata 1Gb kwa eflu Moja baadae kupanda kufikia kiasi cha Tsh 1500 kwengine(Voda) ikiwa Tsh2000 .

Leo kuna mabadiliko ya bei ya Vifurushi karibia mitandao yote mfano Tigo saizi yako ulikuwa unapata Gb kwa buku jero sasa buku mbili , Ttcl wazee wa bufe nao wamepiga kitu kizito na Zantel nao wameunga mkono juhudi kama wameambizana aisee hali ipo hivyo.

#PutinAlaumiwe
Nimeshangaa sana kifurushi cha internet cha halotel nilichokuwa nakipata kwa Tshs 1500, MB 900 sasa hivi hakipo kimeondolewa. Naangalia uwezekano wa kuikimbia mitandao yote na kurudi "home" TTCL ambako kunanoga, buku tu MB kama zote.
 
Moja kwa moja..

Kuelekea mwezi wa tano leo nimeona Vifurushi vingi vya Internet vimeongezeka gharama hapo swali kabisa kipindi cha mtelezo tulikuwa tunapata 1Gb kwa eflu Moja baadae kupanda kufikia kiasi cha Tsh 1500 kwengine(Voda) ikiwa Tsh2000 .

Leo kuna mabadiliko ya bei ya Vifurushi karibia mitandao yote mfano Tigo saizi yako ulikuwa unapata Gb kwa buku jero sasa buku mbili , Ttcl wazee wa bufe nao wamepiga kitu kizito na Zantel nao wameunga mkono juhudi kama wameambizana aisee hali ipo hivyo.

#PutinAlaumiwe
Leo nimenunu chupa ya mafuta ya Alizeti kwa sh 10,000/= kutoka bei ya shilling 7000.
 
GB 3 Unateleza nazo mwezi mzima??
Wengine kwa mwezi si chini ya GB 35
Kama huzo 35gb ni kwa production kweli zina tija, watu wenye insta za biashara, fb account za biashara na huko yutyub. Lakini kama ni kwa ajili ya kupiga umbea na kuondoa stress...mmmh!
 
Hapo kuna zantel wiki na mwezi, then kuna combined siku, wiki na mwezi cha airtel. Vyote wameshusha gb wakati gharama ziko pale pale.
Screenshot_2022-04-30_124526.jpg
Screenshot_2022-04-30_124550.jpg
Screenshot_2022-04-30_124732.jpg
 
Back
Top Bottom