Vifurushi vya data vinapunguzwa lakini gharama inabaki palepale, kwa nini Serikali haidhibiti jambo hili?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
1,997
7,546
Moja ya mambo ambayo madikteta hawapendi ni kukosolewa, kwa miaka ya hivi karibuni mitandao ya kijamii imekuwa njia kubwa ya kukosoa mamlaka na kuleta mabadiliko katika jamii.

Kipindi Rais Samia anaingia madarakani mitandao mingi ilikuwa na bei ndogo za vifurushi mfano, mimi nilikuwa nikinunua GB 3 kwa shilingi 2000 ambazo zilidumu kwa siku 3, hiyo ni kupitia mtandao wa Airtel.

Pia nilinunua GB 2 kwa shilingi 2000 kupitia mtandao wa Halotel ambazo zilidumu kwa siku 7.

Kwa ile miezi ambayo nilikuwa na matumizi makubwa ya internet, nilinunua kifurushi cha Vodacom cha shilingi 50,000 ambacho kilinipa gb 30 za kasi na baada ya hapo kasi inapungua lakini naendelea kutumia vizuri tu kwa siku 30 tena una stream vizuri kabisa.

Baada ya huyu mama kuingia leo tunashuhudia shilingi 2000 eti haitoshi kununua GB 1 tena mtandao wa Tigo unafanya utapeli kwa kuwauzia watumiaji wake Mb 300 na kuziita GB 1, ukitaka kuhakiki, weka app ya kufuatilia matumizi ya vifurushi vyako utagundua kuwa ni mtandao 1 tu ambao vifurushi vyake ni halisi, tena mtandao huo pia umeanza michezo michafu ya kupandisha hovyo bei.

Ninacho ona hapa, hiki si kitu cha bahati mbaya, haya yatakuwa maelekezo ya kidikteta toka juu ili tupunguze kuhoji mambo ya msingi.

Naamini uzi wangu utadumu, poleni sana kwa aina mpya ya udikteta.
 
Hebu tujikite kwenye malalamiko ya msingi na siyo vitu vidogo kama bei ya bando.

Kuna mambo muhimu ya kulalamiiia kama:-
-upatikanaji wa katiba mpya.
-kufutwa/kuondolewa kwa sheria kandamizi
-kufutwa/kuondolewa kwa tozo
-kurudishwa kwa fao la kujitoa
-wakulima kupewa mafao ya uzeeni.
...n.k
 
Na juzi kati hapa waziri anaehusika na mambo hayo alikiri kwenye joto la asubuhi Efm kwamba mitandao haiwezi kufanya mabadiliko ya vifurushi vyao bila Tcra kulidhia, kwa hiyo serikali imeamua kutunyosha na kwa bahati mbaya Sana hatuna pa kujitetea
 
Kweli Giga 1 kwa sasa imegeuka MB 300,sio tu Airtel hata Tigo wanakula kwetu bila kunawa.

Tigo akikukopesha kifurushi cha sh 2000 anakukata sh 400 kwa muda mfupi! Hiyo interest rate ya 20% imeidhinishwa na nani?

Kipenzi chetu TIGO amegeuka Shailoki kwenye Mabepari wa Venice, anahitaji umlipe kilo mmoja ya nyama yako karibu na moyo.

Lakini wasisahau nguvu ya umma.Tumechoka na upuuzi huo.
 
d
Moja ya mambo ambayo madikteta hawapendi ni kukosolewa, kwa miaka ya hivi karibuni mitandao ya kijamii imekuwa njia kubwa ya kukosoa mamlaka na kuleta mabadiliko katika jamii.

Kipindi Rais Samia anaingia madarakani mitandao mingi ilikuwa na bei ndogo za vifurushi mfano, mimi nilikuwa nikinunua GB 3 kwa shilingi 2000 ambazo zilidumu kwa siku 3, hiyo ni kupitia mtandao wa Airtel.

Pia nilinunua GB 2 kwa shilingi 2000 kupitia mtandao wa Halotel ambazo zilidumu kwa siku 7.

Kwa ile miezi ambayo nilikuwa na matumizi makubwa ya internet, nilinunua kifurushi cha Vodacom cha shilingi 50,000 ambacho kilinipa gb 30 za kasi na baada ya hapo kasi inapungua lakini naendelea kutumia vizuri tu kwa siku 30 tena una stream vizuri kabisa.

Baada ya huyu mama kuingia leo tunashuhudia shilingi 2000 eti haitoshi kununua GB 1 tena mtandao wa Tigo unafanya utapeli kwa kuwauzia watumiaji wake Mb 300 na kuziita GB 1, ukitaka kuhakiki, weka app ya kufuatilia matumizi ya vifurushi vyako utagundua kuwa ni mtandao 1 tu ambao vifurushi vyake ni halisi, tena mtandao huo pia umeanza michezo michafu ya kupandisha hovyo bei.

Ninacho ona hapa, hiki si kitu cha bahati mbaya, haya yatakuwa maelekezo ya kidikteta toka juu ili tupunguze kuhoji mambo ya msingi.

Naamini uzi wangu utadumu, poleni sana kwa aina mpya ya udikteta.
doh kama voda Buku mb 350
kweli kazi tunayo jamani
Screenshot_20221030-103134.png
 
Moja ya mambo ambayo madikteta hawapendi ni kukosolewa, kwa miaka ya hivi karibuni mitandao ya kijamii imekuwa njia kubwa ya kukosoa mamlaka na kuleta mabadiliko katika jamii.

Kipindi Rais Samia anaingia madarakani mitandao mingi ilikuwa na bei ndogo za vifurushi mfano, mimi nilikuwa nikinunua GB 3 kwa shilingi 2000 ambazo zilidumu kwa siku 3, hiyo ni kupitia mtandao wa Airtel.

Pia nilinunua GB 2 kwa shilingi 2000 kupitia mtandao wa Halotel ambazo zilidumu kwa siku 7.

Kwa ile miezi ambayo nilikuwa na matumizi makubwa ya internet, nilinunua kifurushi cha Vodacom cha shilingi 50,000 ambacho kilinipa gb 30 za kasi na baada ya hapo kasi inapungua lakini naendelea kutumia vizuri tu kwa siku 30 tena una stream vizuri kabisa.

Baada ya huyu mama kuingia leo tunashuhudia shilingi 2000 eti haitoshi kununua GB 1 tena mtandao wa Tigo unafanya utapeli kwa kuwauzia watumiaji wake Mb 300 na kuziita GB 1, ukitaka kuhakiki, weka app ya kufuatilia matumizi ya vifurushi vyako utagundua kuwa ni mtandao 1 tu ambao vifurushi vyake ni halisi, tena mtandao huo pia umeanza michezo michafu ya kupandisha hovyo bei.

Ninacho ona hapa, hiki si kitu cha bahati mbaya, haya yatakuwa maelekezo ya kidikteta toka juu ili tupunguze kuhoji mambo ya msingi.

Naamini uzi wangu utadumu, poleni sana kwa aina mpya ya udikteta.
Shabaha ni kupunguza matumizi ya internet hususani katika kuiljielimisha
 
Moja ya mambo ambayo madikteta hawapendi ni kukosolewa, kwa miaka ya hivi karibuni mitandao ya kijamii imekuwa njia kubwa ya kukosoa mamlaka na kuleta mabadiliko katika jamii.

Kipindi Rais Samia anaingia madarakani mitandao mingi ilikuwa na bei ndogo za vifurushi mfano, mimi nilikuwa nikinunua GB 3 kwa shilingi 2000 ambazo zilidumu kwa siku 3, hiyo ni kupitia mtandao wa Airtel.

Pia nilinunua GB 2 kwa shilingi 2000 kupitia mtandao wa Halotel ambazo zilidumu kwa siku 7.

Kwa ile miezi ambayo nilikuwa na matumizi makubwa ya internet, nilinunua kifurushi cha Vodacom cha shilingi 50,000 ambacho kilinipa gb 30 za kasi na baada ya hapo kasi inapungua lakini naendelea kutumia vizuri tu kwa siku 30 tena una stream vizuri kabisa.

Baada ya huyu mama kuingia leo tunashuhudia shilingi 2000 eti haitoshi kununua GB 1 tena mtandao wa Tigo unafanya utapeli kwa kuwauzia watumiaji wake Mb 300 na kuziita GB 1, ukitaka kuhakiki, weka app ya kufuatilia matumizi ya vifurushi vyako utagundua kuwa ni mtandao 1 tu ambao vifurushi vyake ni halisi, tena mtandao huo pia umeanza michezo michafu ya kupandisha hovyo bei.

Ninacho ona hapa, hiki si kitu cha bahati mbaya, haya yatakuwa maelekezo ya kidikteta toka juu ili tupunguze kuhoji mambo ya msingi.

Naamini uzi wangu utadumu, poleni sana kwa aina mpya ya udikteta.
Unaongelea serikaki ipi. Hii ya BITOZO Utaugua ugonjwa wa moyo bure fanya mambo yako tu na kubana matumizi

Tunahitaji wabunge wengi sana wa upinzani 2025
 
Acha kukopa hakuna wa kukukata hio riba.
Kwani umelazimishwa kukopa?
Kweli Giga 1 kwa sasa imegeuka MB 300,sio tu Airtel hata Tigo wanakula kwetu bila kunawa.
Tigo akikukopesha kifurushi cha sh 2000 anakukata sh 400 kwa muda mfupi! Hiyo interest rate ya 20% imeidhinishwa na nani?
Kipenzi chetu TIGO amegeuka Shailoki kwenye Mabepari wa Venice, anahitaji umlipe kilo mmoja ya nyama yako karibu na moyo.
Lakini wasisahau nguvu ya umma.Tumechoka na upuuzi huo.
 
Hebu tujikite kwenye malalamiko ya msingi na siyo vitu vidogo kama bei ya bando.

Kuna mambo muhimu ya kulalamiiia kama:-
-upatikanaji wa katiba mpya.
-kufutwa/kuondolewa kwa sheria kandamizi
-kufutwa/kuondolewa kwa tozo
-kurudishwa kwa fao la kujitoa
-wakulima kupewa mafao ya uzeeni.
...n.k
Unaita vipi bei ya bando ni kitu kidogo wakati dunia tunayoishi sasa ni ya mitandao?

Halafu kumwambia mtu asilalamike kuibiwa bando wakati mitandao tunaitumia kila siku, eti asubiri mpaka Katiba Mpya ipatikane, hii yako sijui ni akili ya sampuli gani.
 
Hebu tujikite kwenye malalamiko ya msingi na siyo vitu vidogo kama bei ya bando.

Kuna mambo muhimu ya kulalamiiia kama:-
-upatikanaji wa katiba mpya.
-kufutwa/kuondolewa kwa sheria kandamizi
-kufutwa/kuondolewa kwa tozo
-kurudishwa kwa fao la kujitoa
-wakulima kupewa mafao ya uzeeni.
...n.k
Nikishindwa kununua hilo bando nitawezaje kuingia humu kuja kulalamika?
 
Moja ya mambo ambayo madikteta hawapendi ni kukosolewa, kwa miaka ya hivi karibuni mitandao ya kijamii imekuwa njia kubwa ya kukosoa mamlaka na kuleta mabadiliko katika jamii.

Kipindi Rais Samia anaingia madarakani mitandao mingi ilikuwa na bei ndogo za vifurushi mfano, mimi nilikuwa nikinunua GB 3 kwa shilingi 2000 ambazo zilidumu kwa siku 3, hiyo ni kupitia mtandao wa Airtel.

Pia nilinunua GB 2 kwa shilingi 2000 kupitia mtandao wa Halotel ambazo zilidumu kwa siku 7.

Kwa ile miezi ambayo nilikuwa na matumizi makubwa ya internet, nilinunua kifurushi cha Vodacom cha shilingi 50,000 ambacho kilinipa gb 30 za kasi na baada ya hapo kasi inapungua lakini naendelea kutumia vizuri tu kwa siku 30 tena una stream vizuri kabisa.

Baada ya huyu mama kuingia leo tunashuhudia shilingi 2000 eti haitoshi kununua GB 1 tena mtandao wa Tigo unafanya utapeli kwa kuwauzia watumiaji wake Mb 300 na kuziita GB 1, ukitaka kuhakiki, weka app ya kufuatilia matumizi ya vifurushi vyako utagundua kuwa ni mtandao 1 tu ambao vifurushi vyake ni halisi, tena mtandao huo pia umeanza michezo michafu ya kupandisha hovyo bei.

Ninacho ona hapa, hiki si kitu cha bahati mbaya, haya yatakuwa maelekezo ya kidikteta toka juu ili tupunguze kuhoji mambo ya msingi.

Naamini uzi wangu utadumu, poleni sana kwa aina mpya ya udikteta.
Ni kosa kusema lao moja? Kama sivyo kwa nini mitandao ya simu inajiamulia kufanya wapendavyo dhidi ya wateja wao na hakuna anayewauliza chochote? Ama kweli mnyonge hana mtetezi!
 
Na juzi kati hapa waziri anaehusika na mambo hayo alikiri kwenye joto la asubuhi Efm kwamba mitandao haiwezi kufanya mabadiliko ya vifurushi vyao bila Tcra kulidhia, kwa hiyo serikali imeamua kutunyosha na kwa bahati mbaya Sana hatuna pa kujitetea
Kwani si mliambiwa mtapewa unafuu kwenye tozo ya miamala ya fedha lakini watafidia kwingine? Ndio huku kusiko kwa wanyonge.
 
Back
Top Bottom