Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

KWa mtazamo wangu na Experience niliyo nayo kwenye utumiaji wa Simu za Mkononi ninapata shaka inayoniaminisha kuwa wezi wa mtandaoni wanashirikiana na watu wa Simu, siamini kuwa hawa provider wanahitaji kufanya kazi kubwa kumpata mwizi wa mtandaoni hasa wakiashaambia number ya mtu aliye tapeli. Mfano mini ananitumia sms akitaka nimtumie pesa immeditely nilitakiwa niitume hiyo number VODA wao wamfuatilie huyo mtu na atakiwe kufika katika ofisi zao ili kuthibitisha kuwa yeye ni mteja halali na kwamba anatakikiwa kuendelea kupata hduma. sasa Polisi wanaishi kutuambia tusitume pesa kwa watu tusio wajua lakini hawa watu wapo very technical na ni rahisi kukudanganya. Unapopatwa na tatizo unalipeleka Polisi, mpelelezi anakuambia swala lako ni gumu sana kwani VODA au TIGO hawatoi Ushirikiano wa haraka kutoa taarifa ya huyo mwizi ili sisi tuweze ifuatilia na mimi nimethibitisha hilo baada ya kuibiwa kimtandao niliripoti na hadi sasa mwaka unaisha sijapata msaada wowote. HIvyo nime Coclude kuwa Polisi na hawa Watu wa phone provider wanashirikiana kuwaibia raia wa Tanzania.
 
Vp ile shop yenu ya Zanzibar mshafungua tiyari ama...tunahitaji biomrtric registration..
 
Data datani siielewi mjali na thamani ya pesa ya mteja .nimejiunga kifurushi Cha 500 wakaongeza za kwa 75.nimewasha data hakuna download hakuna message iliyoingia napokea message kifurushi kimekwisha .data datani kwa Mimi hapana .haiko sawa
 
LEO MPESA WAMENIKATA ZAIDI YA ELFU 60.KULIKONI?NIMETUMIWA 250000 NIMELIPA MPOWER 77000 NIKANUNUA SALIO 5000 NIKATUMA 47000 NA 20000 JUMLA 149000/-BAKI 101,000/=NIKAINGIZIWA MPOWER 75000 WAKAKATA RIBA BAKI 101,000! SIELEWI NILALAMIKE WAPI?
 
Reactions: VMD
Vodacom M-pesa mna shida gan mbona mnaongeza kila kukicha gharama za makato kwa anaetoa
 
Kimetokea nini mkafanya haya mabadiliko? Mmefanya tathimini kwanza? Hizo namba hazilingani na kipato cha watanzania wengi... Total disappointments...
 
Reactions: VMD
Sory, hiv naweza pata msaada wa kujitoa kwenye haka kamfumo ka kutumiwa sms kutwa kucha za kubet ..., maana nshaacha hiz mishe muda sasa
 
nyie ni wezi mnatuibia sana watz na naenda kuwachoma leo tcra ushahidi ninao mara kibao mnaiba izo senti ngapi ngapi sh ngapi zitawatoka puani subirini vya halali..kamtandao ka kike mnawaza tu kuchuna wateja wenu voda kweli mnadanga
 
Hili gawio mnalotulipa wateja linatokana na nini? Halafu pesa yenyewe haitoshi hata kununua jojo!

Heri mbaki nazo hizo pesa na siyo kutukebehi!
 
 
Reactions: VMD
Vipi mbona vifurushi vya chuo mmepandisha kimya kimya kutoka 2000 hadi 3000, haa vodacom mtauwa bendi. Fanyeni tayhimini, la siyo tutawahama mzima. Tunawapa muda, mbona wenzenu ni Safi tu, nyinyi mnashida gani?
 
Nina laini zenu mbili, soon nazitupa maana hizi bundles zenu za internet ni zaidi ya wizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…