Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,426
- 92,791
Line yangu ya voda nilishaiflush chooni siku nyingi sana, sipendi upumbavu miye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba msaada kujua kuwa unapokuwa na akiba kwenye M-PAWA gawio linakuwaje? maana kwanza gawio lenu mnalitoa baada ya miezi mitatu.Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Walinitibua sana baada ya kutoa indeed, aheri ingeliendelea tu.Kwa nini mmetoa huduma ya top up kwa mteja nayeunga kifurush kimoja kwa gharama moja kabla ya muda kuisha
Sent using Jamii Forums mobile app
MhWalinitibua sana baada ya kutoa indeed, aheri ingeliendelea tu.
T
niliwakimbia kwasababu hii shenzi kabisaKwa nini mmetoa huduma ya top up kwa mteja nayeunga kifurush kimoja kwa gharama moja kabla ya muda kuisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavu zenu VIDACOM, kama deni la 6b ndio mnataka mlilipe hivi mbwa nyie, kila siku nikiweka vocha ya 2,000 nakwata hizo tsh 3,
Pumbavu zenu fala sana nyie, MNAKERA SANA
View attachment 1074387
aseee,, nipo najuiliza hapa,,, hela nikituma inaenda na nnarudishiwa msg,, nmeshaunga kifurushi hadi salio limekata lakn hakuna muda wa maongezi nimepata nikiwapigia network bize,,, yaan jamaa wa ajabu hawa jakuna mfanoM-pesa ina shida gani jamani? Nanunua vifurushi hela inakatwa siunganishwi