Panga la Yesu
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 234
- 20
KWa mtazamo wangu na Experience niliyo nayo kwenye utumiaji wa Simu za Mkononi ninapata shaka inayoniaminisha kuwa wezi wa mtandaoni wanashirikiana na watu wa Simu, siamini kuwa hawa provider wanahitaji kufanya kazi kubwa kumpata mwizi wa mtandaoni hasa wakiashaambia number ya mtu aliye tapeli. Mfano mini ananitumia sms akitaka nimtumie pesa immeditely nilitakiwa niitume hiyo number VODA wao wamfuatilie huyo mtu na atakiwe kufika katika ofisi zao ili kuthibitisha kuwa yeye ni mteja halali na kwamba anatakikiwa kuendelea kupata hduma. sasa Polisi wanaishi kutuambia tusitume pesa kwa watu tusio wajua lakini hawa watu wapo very technical na ni rahisi kukudanganya. Unapopatwa na tatizo unalipeleka Polisi, mpelelezi anakuambia swala lako ni gumu sana kwani VODA au TIGO hawatoi Ushirikiano wa haraka kutoa taarifa ya huyo mwizi ili sisi tuweze ifuatilia na mimi nimethibitisha hilo baada ya kuibiwa kimtandao niliripoti na hadi sasa mwaka unaisha sijapata msaada wowote. HIvyo nime Coclude kuwa Polisi na hawa Watu wa phone provider wanashirikiana kuwaibia raia wa Tanzania.Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania