Kuna haja sasa muangalie upya riba zenu za M-Pesa-SONGESHASalaam Nanga,
kuongezeka kiasi cha kukopa inategemea na mwenendo wako wa matumizi ya simu na kufanya marejesho, na si rahisi ikawa ghafla. Endelea kuwa nasi kwa huduma nzuri zaidi.
Rostam asihusishwe .Kuna haja sasa muangalie upya riba zenu za M-Pesa-SONGESHA
Kiukweli riba hizi si rafiki! Na ni kandamizi!!! Kausha damu!.....
Watu wengi wameacha kabisa kutumia laini zao za simu kutumia na kutoa pesa, .... wanazitumia kwa mawasiliano tu
Hamjiulizi kwanini!?....
Haiwezekani Kila baada ya masaa 24 riba inaongezeka maradufu!!!
Hii ni kausha damu aisee!!.. na serikali inawaangalia tu!!!
Lakini hapa si mahali pake pa kulalamikia. ungeweka madai yako kule jukwaa la malalamikoMods acheni kufungia nyuzi za watu kienyeji. Nilipost picha ya professor Janabi anakula baga mkaifuta. Au kuna mtu ni ndugu yake kati yenu? Nikipunga nawe Punga!
Duh 😳Nilikuwa na deni la Songesha 263,038 ambalo nimekopa dakika zisizozidi 200 nikawa nimeingizwa 2,700,000 lakini zimekatwa 626,000 kama malipo ya songesha na makato! nahitaji ufafanuzi
Nilikuwa na deni la Songesha 263,038 ambalo nimekopa dakika zisizozidi 200 nikawa nimeingizwa 2,700,000 lakini zimekatwa 626,000 kama malipo ya songesha na makato! nahitaji ufafanuzi